dunia

  1. Crocodiletooth

    Dunia yetu ina vitu vingi mno. Je, wajua namba au alphabet huwa na frequence fulani

    Je, wajua namba hiz hizi za kawaida huwa na frequence fulani endapo kama zitapangwa katika mpangilio maalum ndivyo unavyoweza kusababisha impact ya aina fulani mfano kutibu,kukuletea matokeo chanya ya aina fulani na mengineyo but how this work? Control of the future is 148721091 The...
  2. RTI

    Umasikini wa Afrika kwa kiasi kikubwa unasababishwa na sisi raia na si Wanasiasa

    Kama kichwa cha habari kinavyo sema kwakweli waafirika hasa vijana tuna takiwa kujitafakari tena kwa kina. Kila siku tumekuwa na mtindo wa kuwalaumu wana siasa kwa umasikini wa nchi zetu ,lakini tatizo lipo kwetu hasa hasa kwenye fikira zetu. Ukitaka kuamini hilo fuatiria kampeini zinazo...
  3. Chachu Ombara

    TANZIA Daktari Bingwa wa Mifupa MOI na Mwenyekiti wa Kamati ya Tiba TFF, Dkt. Paul Gasper Marealle afariki dunia

    Tanzia, Mkurugenzi Mtendaji wa MOI Dkt Respicious Boniface anasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wa MOI Dkt Paul Gasper Marealle (Daktari bingwa wa Mifupa) kilichotokea usiku wa kumakia tarehe 14/10/2020 katika Taasisi ya MOI. Apumzike kwa Amani Kwa masikitiko makubwa napenda kuwajulisha...
  4. Bahati furaha

    Wanajeshi wa Poland kutegua bomu hatari la Uingereza lililodondoshwa katika vita vya pili vya dunia

    Wapiga mbizi wa jeshi la Poland wameanza operesheni ya hatari ya kunasua bomu kubwa la Uingereza lililotumika kwenye vita vya pili vya dunia lililo chini ya bahari. Karibu wakazi 750 wameondolewa kutoka kwenye eneo hilo karibu na mji wa bandari wa Swinoujscie, na operesheni hiyo inatarajiwa...
  5. Travis Walker

    Nini kitatokea hapa duniani tukilala kwa muda wa miaka 1000?

    Hello, habari zenu wakuu. Nahisi muko wazima wa afya, leo nimekuja na hii, unahisi dunia itakuwaje kama sisi sote tukilala kwa muda wa miaka 1000. Baada ya miaka hiyo 1000 tutakapoamka dunia itakuwaje? Yaani namaanisha watu tuwe tumealala kama tuliokufa kuwe hakuna shughuli inayoendelea. Tupa...
  6. Stroke

    Je, Dunia ipo chini ya maji??

    Nimesoma kitabu Cha Mwanzo (Genesis) na kwa Tafsiri yake naona kama vile tunaishi chini ya maji. Mwanzo 1 :6-10, inasema; "Then God said, let there be a firmament in the midst of the waters , and let it divide the waters from the waters. Thus God made the firmament and divided the waters which...
  7. Samia atosha tukutane2030

    True story: Mpelelezi apelelezwa na mpelelezi mwenzake, naye apelelezwa na mpelelezi mwingine bila kujuana

    Kila kitu hapa ulimwenguni ni art na hii kazi ya arts ina kiwango chake. Hata mambo ya usalama ni kazi ya sanaa iliyojaa watu wa level tofauti. Kuna mjamaa mmoja alitumwa na boss wake kumfuatilia mama mmoja muuza vipande vya mihogo mibichi barabarani. Kilichomshtusha boss ni ulinganifu wa sura...
  8. Erythrocyte

    GE2020 Yaliyojiri kwenye kampeni za Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu Mikoa ya Kagera na Geita

    Wakuu natanguliza salamu na baada ya salamu naingia moja kwa moja kwenye mada, kama mnavyojua Kampeni zinaendelea na leo tena Mh Lissu ambaye anapewa asilimia kubwa kutwaa urais wa nchi atakuwa kwenye mikoa ya Kagera na Geita, katika kanda hii kunatarajiwa kupigwa mkutano maalum wa kipekee...
  9. Mackanackyyy

    Mjulisheni Magufuli, siasa za kupambana na dunia anazozijaribu hapa zimeshindikana Zimbabwe

    Zimbabwe wamesalimu amri rasmi, sasa wanarudisha mashamba ya Wazungu waliyoyanyang'anya Miaka 20 iliyopita. So Mjulisheni Magufuli kuwa anachokijaribu hapa wenzake wamekijaribu na kimewashinda, mjulisheni maana haya mambo ya Kimataifa huwa yanampita hana habari; Kabudi naye yupo kakodoa Macho...
  10. U

    TANZIA Kamanda wa Polisi ACP Jonathan Shana afariki Dunia

    Ni huzuni & majonzi Ameumaliza mwendo Kazi ya Mungu Haina makosa Mshiriki, Mzee wa Kanisa na Muinjilisti wa Kanisa la Waadventista Wasabato Mjini Kati Arusha Alishiriki vema akitoa Zaka na Sadaka Aliishi vizuri sana na washiriki Wenzake Alikuwa Mnyenyekevu na mwenye hofu ya Mungu...
  11. Azim Sokoine

    TANZIA Zanzibar: Salim Turky, Mwanasiasa Mkongwe na Mgombea Jimbo la Mpendae Zanzibar, afariki dunia

    Mwanasiasa mkongwe na mfanyabiashara maarufu Turk wa Zanzibar afariki dunia. === Mheshimiwa Salim Hassan Abdullah Turky, afariki dunia usiku huu akiwa hospitali ya Tasakhta global chanzo cha kifo chake inadaiwa kuwa aliugua ghafla. Swala ya maiti itafanyika leo Alasiri September 15 katika...
  12. Kurzweil

    Mzee atibua harusi akidai maharusi ni watoto wake

    WAPENZI wawili waliokuwa tayari kufunga ndoa katika eneobunge la Bura, Kaunti ya Tana River walilazimika kusitisha harusi yao baada ya mwanamume kujitokeza ghafla harusini akidai yeye ni baba yao. Anne Magwi na Jotham Munini, watoto waliolelewa na wazazi wa kambo, walikuwa wamefika kanisani...
  13. chiembe

    Bi Kidude ni mwanamuziki nguli na shujaa, anasifika dunia nzima na ni fahari ya Tanzania. Gwajima alikosea sana

    Nimesikia hotuba ya Gwajima akimtaja Bi Kidude kwa namna ya dharau na kutompa heshima yake. Bibi huyu alikuwa na historia kubwa sana na mpaka sasa ipo, na hakuna anayeweza kuivunja,walau kwa sasa. Mpaka wasanii wa bongo fleva walikuwa wanapigana vikumbo kuomba kuimba naye,marais walimpa heshima...
  14. FRANCIS DA DON

    DRC Congo waanza ujenzi wa mradi mkubwa wa umeme kuliko yote duniani, ‘The Inga Dam Project’, bwawa la RUFIJI linasubiri

    Sikujua kama DRC ni matajiri kiasi hiki, wanadai DRC ina utajiri wa USD trillion 2,000 katika mfumo wa rasilimali umefukiwa chini ya ardhi, huo utajiri hata hauwezi kuandikika katika pesa ya madafu. Jionee mwenyewe kwenye video clip hapo chini. Nasikia waEthiopia wanakamilisha bwa kubwa kabisa...
  15. C

    Ashukuru "mungu" wake kizazi cha viongozi wa dunia kimebadilika sana, enzi za akina Obama tungezungumza mengine.

    Ni ukweli usiopingika kizazi cha viongozi wa kidunia na marais wa nchi kubwa duniani kimebadilika sana. Tukianza na Katibu Mkuu wa UN ni kama amepoa sana na taasisi yake imekosa mashiko. Tukija kwa Taifa la Marekani nalo sera zake za nje zimekosa meno kabisa kutokana na Rais wao Trump...
  16. S

    Hakika tumerudi nyuma miaka zaidi ya 50 na katika ulimwengu wa leo, sijui dunia inatutazama vipi!

    Kila mahali ni hofu!! Someni hii tweet hapa chini ya DarmpyaBlog: "MASAHIHISHO Kufuatia taarifa ya mgombea ubunge jimbo la Bunda Mjini Esther Bulaya, iliyoripotiwa na vyombo vya habari ikiwemo DARMPYA ikionesha jimbo hilo hakuna diwani wa CHADEMA aliyewekewa pingamizi, tunapenda kusahihisha...
  17. J

    Rais Kagame ateua mwanamke kuongoza Idara ya Intelejensia

    Wakati hapa nyumbani kundi la wagombea wa kiume limepita bila kupingwa huku wanawake wakiendelea na uchaguzi na wengine kuenguliwa, kule Rwanda Rais Kagame amemteua mwanamama kuongoza idara ya Intelejensia ya nchi hiyo. Wanaume tukiendekeza kitonga akina Ummy ndio watakaobeba mikoba siku za...
  18. M

    Mwendelezo utajiti wa dunia upo hapa

    UTAJIRI WA DUNIA UPO HAPA Je, unajua kuwa wawekezaji waliowekeza kwenye teknolojia ya mawasiliano wana utajiri mkubwa. Kwenye teknolojia ya Mawasilianao ni kati ya Maeneo nyeti yanayo aminika kuwa na utajiri wa ajabu sana japo inahitaji kujitoa na kujituma ili ufanikiwe katika uwekezaji wako...
  19. Return Of Undertaker

    Ripoti ya benki ya Dunia inaonesha Zimbabwe ina nafasi nzuri kwa mazingira ya uwekezaji kuliko Tanzania

  20. F

    Rumble in the Jungle: Pambano la Karne la Dunia - George Foreman vs Muhammad Ali - Oct. 30, 1974

    Hili pambano naona ndilo pambano kali kuliko yote uliyowahi kushuhudia duniani. Kama una roho ndogo usiangalie tafadhali. Rumble in the Jungle ilikuwa moja ya wakati muhimu katika historia ya ndondi. Pambano kati ya Muhammad Ali na George Foreman lilifanyika Oktoba 30, 1974 huko Kinshasa...
Back
Top Bottom