Kurunzi
JF-Expert Member
- Jul 31, 2009
- 9,263
- 9,883
Nimepata taarifa ya kuwa Mzee Sadru Ndossi ambaye ni moja wa mmiliki wa Kampuni kubwa ya kuuza spea za magari na pikipiki amefariki Dunia leo asubuhi.
Pia anamiliki majengo kadhaa hapa mjini bila shaka ndiye mmiliki wa Jengo la SS Concrete Pale Africana.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake karibu na Corner bar.
Mwili utasafirishwa kesho kuzikwa Moshi
RIP Mzee Ndossy
Pia anamiliki majengo kadhaa hapa mjini bila shaka ndiye mmiliki wa Jengo la SS Concrete Pale Africana.
Mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwake karibu na Corner bar.
Mwili utasafirishwa kesho kuzikwa Moshi
RIP Mzee Ndossy