Forest Hill
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 1,855
- 3,488
Habari zenu nyote,
Bila shaka wote mmesikia, mmeona juhudi za binadamu katika harakati za kutafuta sayari nyingine tofauti na dunia ambayo ina hali kama dunia yetu, chombo cha Marekani kishafika mars, swali langu kwa wajuzi wa masuala ya dini, siku ya mwisho itakuaje kama binadamu wengine watakua mars? Je Mungu ataangamiza sayari nyingine zaidi ya dunia? maana kwa mujibu wa mafundisho ya biblia, Mungu ataangamiza dunia(tu) na kila kilichomo maana dunia ndio sayari(pekee)iliyomkubali shetani
2 petro 3:10 "siku ya bwana itakuja kama mwizi siku hiyo, mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu, vitu vyake vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo dunia itatoweka pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake"
Bila shaka wote mmesikia, mmeona juhudi za binadamu katika harakati za kutafuta sayari nyingine tofauti na dunia ambayo ina hali kama dunia yetu, chombo cha Marekani kishafika mars, swali langu kwa wajuzi wa masuala ya dini, siku ya mwisho itakuaje kama binadamu wengine watakua mars? Je Mungu ataangamiza sayari nyingine zaidi ya dunia? maana kwa mujibu wa mafundisho ya biblia, Mungu ataangamiza dunia(tu) na kila kilichomo maana dunia ndio sayari(pekee)iliyomkubali shetani
2 petro 3:10 "siku ya bwana itakuja kama mwizi siku hiyo, mbingu zitatoweka kwa kishindo kikuu, vitu vyake vya asili vitateketezwa kwa moto, nayo dunia itatoweka pamoja na kila kitu kilichomo ndani yake"