johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,913
- 141,863
Mwenyekiti wa CUF Profesa Lipumba amesema ukitumia vigezo vya dunia kutathmini hali ya maisha ya watanzania basi zaidi ya nusu ya watanzania ni mafukara wa kutupwa.
Lipumba amesema zaidi ya watanzania milioni 28 wanaishi kwa umaskini uliopitiliza.
Ramadhan Kareem!
Lipumba amesema zaidi ya watanzania milioni 28 wanaishi kwa umaskini uliopitiliza.
Ramadhan Kareem!