mtimawachi
JF-Expert Member
- Apr 1, 2020
- 2,017
- 3,037
Sina nia ya kukashfu wa kutukana kabila la mtu, ila hapa natoa mtazamo wangu mimi kama mtimawachi.
Tukija kwenye baadhi ya vitabu vya dini vinakiri kabisa kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu. Tumeaswa kuwapenda wake zetu, mtume Mohammad ameonya kuhusu kupiga mke akaongeza kama ikibidi mpe pigo jepesi.
Sasa shemeji zangu WAKURYA inakuwaje umpige mkeo kipigo kizito namna hii. Eti unamshikia panga, kisu fimbo hujui kama hiki ni kiumbe dhaifu?
Hakuna sifa yoyote utakayopata eti umepambana na mkeo umeshinda!
NAKUBALI wanawake wa gubu,lakini haina maana kuwadhalili
Mimi mbona dada yenu simpigi na huu ni mwaka wa 16 nipo nae lakini nyie miezi 3 tayari MMEMNYOA na KISU dada yangu.
Ninawaomba mashemeji zangu mmbadilike, hizo habari za kuwajeruhi wake zenu zibakie hadithi tu.
NB: Kama wewe ni Mkurya na haumbughudhi mke huu uzi haukulengi
Na wewe kama siyo Mkurya lakini una tabia tajwa hapo juu ubadilike.
Mwisho nimalizie kwa kusema dada yenu anawasalimia huku anasema anawashukuruni kwa kumuoza kwa dume la KIMAKUWA mtimawachi
NAJUA mkisoma uzi huu mtatamani kunikatakata lakini nilishasoma 'grid reference' ya adui nikajua hamuwezi nifikia
Tukija kwenye baadhi ya vitabu vya dini vinakiri kabisa kuwa mwanamke ni kiumbe dhaifu. Tumeaswa kuwapenda wake zetu, mtume Mohammad ameonya kuhusu kupiga mke akaongeza kama ikibidi mpe pigo jepesi.
Sasa shemeji zangu WAKURYA inakuwaje umpige mkeo kipigo kizito namna hii. Eti unamshikia panga, kisu fimbo hujui kama hiki ni kiumbe dhaifu?
Hakuna sifa yoyote utakayopata eti umepambana na mkeo umeshinda!
NAKUBALI wanawake wa gubu,lakini haina maana kuwadhalili
Mimi mbona dada yenu simpigi na huu ni mwaka wa 16 nipo nae lakini nyie miezi 3 tayari MMEMNYOA na KISU dada yangu.
Ninawaomba mashemeji zangu mmbadilike, hizo habari za kuwajeruhi wake zenu zibakie hadithi tu.
NB: Kama wewe ni Mkurya na haumbughudhi mke huu uzi haukulengi
Na wewe kama siyo Mkurya lakini una tabia tajwa hapo juu ubadilike.
Mwisho nimalizie kwa kusema dada yenu anawasalimia huku anasema anawashukuruni kwa kumuoza kwa dume la KIMAKUWA mtimawachi
NAJUA mkisoma uzi huu mtatamani kunikatakata lakini nilishasoma 'grid reference' ya adui nikajua hamuwezi nifikia