dunia

  1. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Morocco kuomba kuandaa Kombe la Dunia 2030

    Morocco ikifanikiwa katika mchakato huo wa Kombe la Dunia 2030 itakuwa Nchi ya pili kwa Afrika kuandaa michuano hiyo baada ya Afrika Kusini Mwaka 2010. Hiyo ni mara ya 6 kwa Morocco kuomba kuwa mwenyeji wa michuano hiyo lakini safari hii wanatarajiwa kuomba waandae kwa ushirikiano na Hispania...
  2. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Mchimbaji aliyevunjika mguu na mkono akiokolewa shimoni, afariki dunia

    Mchimbaji mdogo mmoja aliyetambulika kwa jina moja la Eliya anaekadiriwa kuwa na miaka 28-30 amefariki dunia baada ya kuangukiwa na jiwe wakati akichimba madini katika machimbo yaliyopo eneo la Magema mtaa wa Nyamalembo mjini Geita. Tukio hilo limetokea zikiwa zimepita siku mbili kufuatia...
  3. Intelligent businessman

    JamiiForums Tanzania TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

    Taarifa zilizothibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia. Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:👉 👉 Taarifa za kina zaidi, kuhusiana na chanzo Cha kifo bado hazijajulikana. Zaidi ya kusemekana ni ajali tu. Miongoni...
  4. Kusini pride

    JamiiForums Tanzania Mapito ya dunia!

    THE HUSTLER - 2 Nilipata hela ya kulipa baada ya kama wiki na kitu hivi, nyumbani mpaka sehemu niliyoambiwa nitapandia gari ni mbali kwahiyo asb ya alfajiri yule mtu wa sait alikuja na baiskeli mbili akanipakia na mama akapanda nyingine. Kufika huko tulikaa sehemu jamaa akasema tusubiri gari...
  5. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Dunia inasubiri kuona insurrection ya Azimio. Kuona kama vijana wake Raila watathubutu kufanya insu-erection.

    Hali imekuwa very tense Kenya. Raila amekuwa na wasiwasi mkubwa kutangaza maandamano,ameona matatizo mengi,ameona mambo mengi yanayoleta hofu,lakini vijana wake wameonekana wako tayari kumchezea simba masharubu. Kwa hiyo tunasubiri kuona jambo gani litatokea. Inaonyesha masses wana akili ya peke...
  6. D

    JamiiForums Tanzania Orodha ya nadharia zenye utata duniani (conspiracies)

    Hizi ni nadharia zenye utata hapa duniani hii ndio list yangu km unayo ongeza chini hapo ● Rebirth and reincarnation ● Time travelling ● Human clone ● Magic mushroom ● Mermaid (samaki watu) ● Allen's and UFO ● Ark of the Covenant (Sanduku la agano) ● Satan Bible ● De javuu theory ●meditation...
  7. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Depression na Wasiwasi Uliopitiliza unagharimu Uchumi wa Dunia zaidi ya $ Trilioni 1 kila mwaka

    Kwa mujibu wa Shirika la Afya Duniani (WHO), Takriban 20% ya Watoto na Vijana duniani wana Tatizo la #AfyaYaAkili, ikiwa ni sababu ya Pili kwa kuchangia Vijana wenye miaka 15 hadi 29 kujiua duniani. Pia, katika kila kundi la Watu 5 waliopo kwenye mazingira yenye Vurugu, mmojawapo anakabiliwa na...
  8. McCollum

    JamiiForums Tanzania Je, Mungu ataumba tena binadamu wengine baada ya dunia kufikia mwisho?

    Swali langu ni hili, je, Mungu ataumba binadamu wengine baada ya kukifuta hiki kizazi cha tatu? Au baada ya dunia kufikia mwisho na sisi kukutana na doom ambayo Mungu ameipanga mambo ya binadamu ku-exist duniani yatapotea kabisa? ======================= Salamu kwa wanajukwaa, nawasalimu wote...
  9. rosmariini

    JamiiForums Tanzania Riwaya: Dunia haina usawa

    .
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania TANZIA Habib Mohammed Ali, Mwakilishi wa Jimbo la Mtambwe Kisiwani Pemba(ACT Wazalendo), afariki Dunia

    Habib Mohammed Ali, Mwakilishi wa Jimbo la Mtambwe, Mkoa wa Kaskazini Pemba amefariki Dunia wakati akiendelea na matibabu katika Hospitali ya SAIFEE Jijini Dar es Salaam. Katibu wa Habari, Uenezi, Mawasiliano na Umma wa Chama cha ACT-Wazalendo, Salim Bimani amesema taarifa za mazishi zitatolewa...
  11. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Je, una utaratibu wa kupongeza rafiki zako? Messi amewazawadia timu ya Argentina iphone 14 za dhahabu kila mmoja kwa kutwaa World Cup 2022

    Messi amenunua simu 35 aina ya iPhone14 za dhahabu na kuwazawadia kikosi cha Timu yake ya Taifa ya Argentina kwa kutwaa Ubingwa wa FIFAWorldCup2022 Inaelezwa kuwa Nyota huyo wa PSG ametumia takriban Tsh. Milioni 409.5 kununua simu hizo, huku 1 ikikadiriwa kugharimu zaidi ya Tsh. Milioni 14...
  12. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Mbeya: Mwanafunzi wa Shule ya Msingi afariki Dunia kwa kujinyonga, yadaiwa chanzo ni kukaripiwa

    Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, ACP Benjamin Kuzaga amesema Februari 27, 2023 majira ya saa 02:00 usiku katika Mtaa wa Mwafute uliopo Kata ya Ilemi, Tarafa ya Sisimba, Jijini Mbeya, Mwanafunzi wa darasa la VI katika Shule ya Msingi Lyoto aitwaye IBRAHIM EDSON [12] alikutwa akiwa amefariki baada...
  13. The Sheriff

    JamiiForums Tanzania Kuna Haja ya Mataifa Kuzidisha Mapambano Dhidi ya Usafirishaji Haramu wa Binadamu

    Hivi karibuni matukio ya usafirishaji haramu yameonekana kuzidi kushika kasi na kuibuka katika mazingira ambayo watu wengi wasingeweza kudhani. Makala ya hivi karibuni iliyorushwa na kituo cha televisheni cha BBC ilionesha jinsi baadhi ya watu wenye ulemavu wanavyorubuniwa na kupelekwa nchini...
  14. BARD AI

    JamiiForums Tanzania Mtoto wa wiki mbili aliyechomwa kisu afariki dunia

    Mtoto mchanga wa wiki mbili aliyechomwa kisu na kisha utumbo kutoka nje na mama yake kuuawa akiwa amelala, amefariki dunia wakati akipatiwa matibabu katika hospitali ya Rufaa ya Kanda ya Kaskazini (KCMC). Februari 22, mwaka huu Mwanamke huyo ajulikanaye kwa jina la Fausta Tesha (26) mkazi wa...
  15. D

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna vita kali duniani kama hizi?

    Habarini za mchana wote tunajua hakuna vita dunian kubwa kama vita kati ya hii Mungu na shetani kuachana na hii vita hivi kuna vita ngumu nyingine kupigana kama hizi 1) VITA KATI YA MOYO NA AKILI 2)VITA KATI YA UTAFUTAJI WA PESA NA KUMUABUDU MUUMBA 3)VITA KATI YA UAMINIFU NA...
  16. Brain Kingdom

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Dunia haibagui, wanajeshi pamoja na kutamba wanaongoza kuchapiwa wake zao

    Kila mtu na mnyonge wake! Hakuna watu wa ajabu wanajikutaga kama wanajeshi, kujimwambafy kwingi mara wakiwa bar kujishaua kwingi na vipesa vyao vya kawaida sana. wakipanga mtaani vurugu nyingi sauti za mziki kubwa za fujo hata usiku wa manane, usiombe ndio awe na kijigari kama uniform maana...
  17. Messenger RNA

    JamiiForums Tanzania Mkuu wa NATO: Kuacha Urusi ishinde Ukraine itakuwa hatari kwa dunia nzima, nchi za magharibi hawatakubali kitokee

    Katibu mkuu wa NATO amesema kuicha Urusi iishinde Ukraine ni hatari si kwa Ukraine tu bali kwa dunia nzima kitu ambacho NATO/magharibi haitakubali hilo litokee kamwe. ================== A Russian win in Ukraine would be 'dangerous for the whole world', says NATO chief as he accuses Putin of an...
  18. L

    JamiiForums Tanzania China kujenga nchi yenye nguvu zaidi ya kilimo kunufaisha dunia nzima

    Hivi karibuni China ilitoa Waraka Namba 1 kuhusu suala la kilimo, ikiagiza kwa mara ya kwanza kuharakisha ujenzi wa nchi yenye nguvu kubwa ya kilimo. Hatua hii ina umuhimu mkubwa wa kimataifa na itanufaisha dunia nzima. China kuharakisha kujenga nchi yenye nguvu zaidi ya kilimo kutatoa mchango...
  19. Equation x

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wakubwa wanafaidi mema ya dunia

    Kama mwezi umepita hivi, nilikuwa hapa mjini kwa majukumu ya kikazi. Ili kazi iende vizuri, ilinilazimu kukaa hotelini kwa muda wa siku nne hivi. Baada ya kutoka kwenye majukumu, mida ya saa tatu usiku hivi, nilirudi hotelini, nikapiga maji kwanza ili kuondoa uchovu. Baadaye nikaomba wahudumu...
  20. N

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia imetoa ripoti ambayo imekuwa na sura kuu mbili ikiibebesha sifa Tanzania kiuchumi

    Hivi karibuni Benki ya Dunia imetoa ripoti ambayo imekuwa na sura kuu mbili ikiibebesha sifa Tanzania kiuchumi Rais Samia Suluhu alipoingia madarakani alikuta hali ya uchumi ikiwa katika misukosuko mingi ikiwamo janga la ugonjwa wa Covid-19, mahsusi ripoti ikieleza angalizo kwa nchi za kusini...
Back
Top Bottom