dunia

  1. Sky Eclat

    Andrew Jack wa Star Wars amefariki dunia

    Description Andrew Jack was a British dialect coach and actor from London who had worked on over 80 motion pictures since 1982. Born: 28 January 1944, London Died: 31 March 2020, Surrey Spouse: Paula Jack (m. 2000–2018) Children: Rupert Hutchinson, Katherine Morgan Parents: Stephen Jack, Julia...
  2. M-mbabe

    Kutolewa kwa Mkopo wa Benki ya Dunia kwa Tanzania: Marekani yaeleza msimamo wake

    Marekani (US), nchi ambayo ni mdau muhimu kabisa wa Benki ya Dunia (World Bank) wameonesha dhahiri kutofurahishwa na hatua ya taasisi hiyo ya fedha kuridhia mkopo kwa ajili ya sekta ya elimu Tanzania kutokana na makandokando mengi ambayo serekali yetu bado haijayaweka sawa. Soma waraka wao huu...
  3. The Sheriff

    Rais wa zamani wa Congo-Brazzaville Yhombi Opango afariki dunia kwa Covid-19

    Jacques Joachim Yhombi Opango Rais wa zamani wa Congo-Brazzaville, Jacques Joachim Yhombi Opango, amefariki dunia jijini Paris. Rais wa zamani wa Congo-Brazzaville, Jacques Joachim Yhombi Opango, ambaye alitawala nchi hiyo kati ya...
  4. Superbug

    Wanawake wote wakikataa kufanya mapenzi ni mwisho wa dunia

    Imagine dunia nzima wanawake wagome kufanya mapenzi itakuwaje? Kuanzia walio ndoani mpaka makahaba. Hakutakuwa na uzao Tena na ndio itakuwa mwisho wa dunia.
  5. Tusker Bariiiidi

    TANZIA Lazaro Edward Moringe Sokoine Amefariki Dunia

    Familia Ya Marehemu Edward Moringe Sokoine, Inasikitika Kutangaza Msiba wa Lazaro Edward Sokoine Kilichotokea Leo Alfajiri 28/03/2020 Jijini Dar Es Salaam. Mwili Wa Marehemu Unatarajiwa Kuwasafirishwa kwenda Arusha Monduli Juu Siku Ya Jumatatu, Na Mazishi Yatafanyika Siku Ya Jumanne Bwana...
  6. R

    Dunia ina Mambo: Nilivyozama mapenzini na dalali wa wanawake wanaojiuza

    Amakweli Dunia ina mambo na haiishi vituko. Ni baada ya kupata ajira yangu ya mwanzo mwaka 2007, katika visiwa vya ukelewe huko. Nikiwa ktk ofisi yangu ya kazi nilipata mteja mmoja mwanamke mwenye umri kati ya 24 na 26 alikuwa mrembo kweli. Mnene kiasi na mwenye chura kiasi. Alikuwa anajipenda...
  7. 2019

    Tetesi: Jipangeni kisaikolojia corona ilitabiriwa muda mrefu | itafanya uharibifu mkubwa sana kwenye uchumi wa dunia

    UKITAKA KUMFICHA MWAFRIKA MWEKEE UJUMBE KWENYE KITABU Hii ni makala nimeiona kwenye status ya mtu whatsapp nikaamua kujioa uafrika na kuisoma. Kama utaisoma njoo ulete mrejesho tu au uulize kitu ambacho hujaelewa Ngoja nione ni wangapi wataisoma🤔 Sitaki kuongeza chochote isome mwenyewe...
  8. AKILI TATU

    Msemaji wa zamani wa Simba Asha Muhaji amefariki dunia

    Aliyekuwa msemaji wa Simba miaka ya 2010-12 Asha Muhaji ametangulia mbele ya haki mchana huu. mungu amrehemu Asha Muhaji enzi za uhai wake ====== Dar es Salaam. Aliyekuwa afisa habari wa Simba SC na mwandishi wa habari za michezo, Asha Muhaji amefariki dunia mchana wa leo, Jumatano. Asha...
  9. E

    Dunia inaelekea kugawanyika, wenye korona na wasio na korona

    Nikitazama nguvu gani baadhi ya mataifa yanawekeza kupambana na korona, nikitazama athari za korona katika katika baadhi ya mataifa kama watu kukaa majumbani siku kadhaa bila kufanya chochote ni wazi unaweza kuona kuna mataifa hayatuvulia "utani" juu ya korona. Tujiulize hivi ni nchi gani...
  10. Makirita Amani

    Wakati dunia inafungwa, wewe fungua vitabu (vitabu 12 vya kusoma wakati unajikinga na virusi vya Corona)

    Kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa mafua makali unaoendelea kwa sasa duniani, dunia imefungwa. Karibu kila nchi duniani imesitisha safari kati ya nchi moja na nyingine, hivyo watu wanaofanya kazi kwenye sekta za usafirishaji, malazi na utalii kwa sehemu...
  11. Nyani Ngabu

    Kirusi kinachotisha kuliko Corona ni uoga/ hofu

    Dunia nzima sasa ni kama imesima kwa sababu ya hofu ya kirusi cha Corona. Watu hawaendi makazini. Shule zimefungwa. Michezo imesitishwa. Matamasha hakuna. Mikusanyiko marufuku. Madukani kuna uhaba wa baadhi ya bidhaa hadi watu wanatwangana ngumi wakigombea makaratasi ya chooni. Eti yote hayo...
  12. Sudi jr

    Magonjwa hatari zaidi yalioua watu wengi katika historia ya dunia kuanzia 167AD -2020

    ANTONINE PLAGUE (165 AD) daeth toll: 5 million cause: Unknown Location: Rome ( uliambukizwa na askari ya waliofika Rome kutoka mesopotania- 165AD) maeneo yaliyo athirika zaidi Greece, egypt, Asia, PLAGUE OF JUSTINIAN (541-542) Death Toll: 25 million Cause: Bubonic Plague Location...
  13. Equation x

    Mwanaume ni lulu katika hii dunia....

    Mwanaume ni lulu katika hii dunia.... Mwanaume wa kuanzia miaka 30+ amekuwa akihitajika sana na wadada/wanawake ili waweze kufunga pingu za maisha. Na kama yuko smart, kiuchumi, kielimu, kujipenda n.k ana uwezo mkubwa wa kuwa na wapenzi wa aina mbali mbali na kila mmoja akitamani aolewe naye.Na...
  14. Pendaelli

    Tunawapendeni sana wanawake, ila Dunia inawaongopeeni

    Tunawatakieni heri njema ya siku ya wanawake duniani. Ninakiri kabisa pamoja nakuwa kila kiumbe kilichopo duniani kipo kwa idhini ya Mwenyezi Mungu ila mimi kama sio mwanamke nisingekuwepo hapa kwa jinsi nilivyo. mama yangu mzazi alifariki nikiwa na umri wa mwezi mmoj bibi yangu ndie alienilea...
  15. The Assassin

    Benki ya Dunia inatarajiwa kuidhinisha mkopo wa $500M kwa Tanzania baada ya Tanzania kutoa utetezi wake

    Bak ya Dunia inatarajia kuidhinisha mkopo wa elimu kwa Tanzania wa dola za kimarekani millioni mia tano ($500M) sawa na pesa za kitanzania Trillion 1.3 ambao ulisitishwa hapo mwezi January 2020 baada ya wanasiasa na wanaharakati kuingilia kati. Hayo yamejiri baada ya serikali ya Tanzania kwenda...
  16. Erythrocyte

    Onyo: Wanasiasa kuwa makini, ukidharauliwa hapa JF tambua kwamba umedharauliwa mitaani na dunia nzima. JF ina nguvu sana

    Hili ni onyo ninalolielekeza kwa wanasiasa wenzangu , na hasa wale wenye wito na maono ya kugombea ubunge , Udiwani na Urais kama mimi . Andikeni ukweli na haki bila kutumikishwa kwa gharama ndogo au kubwa ili kujijengea heshima mbele ya jamii , Kwa sasa jf ndio pahala panapotumika na wananchi...
  17. digba sowey

    For CHADEMA Followers: What comes around goes around

    Naomba niwasabahi wanachama wa jf,hamjambo? Naomba niende kwenye hoja yangu juu ya wafuasi na wanachama wa CHADEMA,Naomba niweke kumbukumbu sawa, hakuna mwaka ambao chadema aliwahi kuvuna wanachama wengi toka CCM kama mwaka wa Mafuliko 2015, ambapo watu mashuhuri toka CCM walijiunga na CHADEMA...
  18. S

    Benki ya Dunia: Zaidi ya dola milioni 680 zimewekwa na watanzania katika mabenki ya kigeni kutokana na kuongezeka kwa mikopo na misaada kutoka nje

    Ni Zitto akinukuu utafiti wa wataalamu wa Benki ya Dunia kupitia twitter: Utafiti wa Wataalamu wa Benki ya Dunia (World Bank Chief Economist) umeonyesha kuwa zaidi ya Dola za Marekani 680 milioni zimewekwa kwenye Benki za kigeni na Watanzania kutokana na kuongezeka kwa misaada na mikopo kutoka...
  19. BASIASI

    Mtoto wa miezi 11 afariki Dunia baada ya kulazimishwa kula mchele

    Niko hosptali moja hapa Goba naona kilio na simanzi vimetawala. Nilipouliza baadhi ya ndugu wakasema dada wa kazi alikuwa akimlazimisha mtoto kula mchele ukaingia koo la hewa. Walipomfikisha wakakuta mtoto bado anahangaika, Hospitali wakajaribu kumsaidia ndipo wakatoa punje kadhaa za mchele...
  20. Makanyaga

    Zitto: Sio kosa kuiandikia barua Benki ya Dunia isiipe mkopo Tanzania

    Zitto kuandika barua Benki ya Dunia siyo kosa ndiyo, ila kosa ni kutumia nembo ya Bunge kuiandikia Benki ya Dunia, na kusaini barua kama Mbunge wa JMT, wakati Bunge halikuwa na taarifa rasmi kuhusiana na barua yake hiyo. Zitto alitakiwa aandike barua hiyo kama Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo...
Back
Top Bottom