Description
Andrew Jack was a British dialect coach and actor from London who had worked on over 80 motion pictures since 1982.
Born: 28 January 1944, London
Died: 31 March 2020, Surrey
Spouse: Paula Jack (m. 2000–2018)
Children: Rupert Hutchinson, Katherine Morgan
Parents: Stephen Jack, Julia...
Marekani (US), nchi ambayo ni mdau muhimu kabisa wa Benki ya Dunia (World Bank) wameonesha dhahiri kutofurahishwa na hatua ya taasisi hiyo ya fedha kuridhia mkopo kwa ajili ya sekta ya elimu Tanzania kutokana na makandokando mengi ambayo serekali yetu bado haijayaweka sawa.
Soma waraka wao huu...
Jacques Joachim Yhombi Opango
Rais wa zamani wa Congo-Brazzaville, Jacques Joachim Yhombi Opango, amefariki dunia jijini Paris.
Rais wa zamani wa Congo-Brazzaville, Jacques Joachim Yhombi Opango, ambaye alitawala nchi hiyo kati ya...
Imagine dunia nzima wanawake wagome kufanya mapenzi itakuwaje?
Kuanzia walio ndoani mpaka makahaba.
Hakutakuwa na uzao Tena na ndio itakuwa mwisho wa dunia.
Familia Ya Marehemu Edward Moringe Sokoine, Inasikitika Kutangaza Msiba wa Lazaro Edward Sokoine Kilichotokea Leo Alfajiri 28/03/2020 Jijini Dar Es Salaam.
Mwili Wa Marehemu Unatarajiwa Kuwasafirishwa kwenda Arusha Monduli Juu Siku Ya Jumatatu, Na Mazishi Yatafanyika Siku Ya Jumanne Bwana...
Amakweli Dunia ina mambo na haiishi vituko. Ni baada ya kupata ajira yangu ya mwanzo mwaka 2007, katika visiwa vya ukelewe huko. Nikiwa ktk ofisi yangu ya kazi nilipata mteja mmoja mwanamke mwenye umri kati ya 24 na 26 alikuwa mrembo kweli. Mnene kiasi na mwenye chura kiasi. Alikuwa anajipenda...
UKITAKA KUMFICHA MWAFRIKA MWEKEE UJUMBE KWENYE KITABU
Hii ni makala nimeiona kwenye status ya mtu whatsapp nikaamua kujioa uafrika na kuisoma.
Kama utaisoma njoo ulete mrejesho tu au uulize kitu ambacho hujaelewa
Ngoja nione ni wangapi wataisoma🤔
Sitaki kuongeza chochote isome mwenyewe...
Aliyekuwa msemaji wa Simba miaka ya 2010-12 Asha Muhaji ametangulia mbele ya haki mchana huu.
mungu amrehemu
Asha Muhaji enzi za uhai wake
======
Dar es Salaam. Aliyekuwa afisa habari wa Simba SC na mwandishi wa habari za michezo, Asha Muhaji amefariki dunia mchana wa leo, Jumatano.
Asha...
Nikitazama nguvu gani baadhi ya mataifa yanawekeza kupambana na korona, nikitazama athari za korona katika katika baadhi ya mataifa kama watu kukaa majumbani siku kadhaa bila kufanya chochote ni wazi unaweza kuona kuna mataifa hayatuvulia "utani" juu ya korona.
Tujiulize hivi ni nchi gani...
Kutokana na maambukizi ya virusi vya Corona vinavyosababisha ugonjwa wa mafua makali unaoendelea kwa sasa duniani, dunia imefungwa.
Karibu kila nchi duniani imesitisha safari kati ya nchi moja na nyingine, hivyo watu wanaofanya kazi kwenye sekta za usafirishaji, malazi na utalii kwa sehemu...
Dunia nzima sasa ni kama imesima kwa sababu ya hofu ya kirusi cha Corona.
Watu hawaendi makazini. Shule zimefungwa. Michezo imesitishwa. Matamasha hakuna. Mikusanyiko marufuku. Madukani kuna uhaba wa baadhi ya bidhaa hadi watu wanatwangana ngumi wakigombea makaratasi ya chooni.
Eti yote hayo...
ANTONINE PLAGUE (165 AD)
daeth toll: 5 million
cause: Unknown
Location: Rome ( uliambukizwa na askari ya waliofika Rome kutoka mesopotania- 165AD)
maeneo yaliyo athirika zaidi Greece, egypt, Asia,
PLAGUE OF JUSTINIAN (541-542)
Death Toll: 25 million
Cause: Bubonic Plague
Location...
Mwanaume ni lulu katika hii dunia....
Mwanaume wa kuanzia miaka 30+ amekuwa akihitajika sana na wadada/wanawake ili waweze kufunga pingu za maisha. Na kama yuko smart, kiuchumi, kielimu, kujipenda n.k ana uwezo mkubwa wa kuwa na wapenzi wa aina mbali mbali na kila mmoja akitamani aolewe naye.Na...
Tunawatakieni heri njema ya siku ya wanawake duniani.
Ninakiri kabisa pamoja nakuwa kila kiumbe kilichopo duniani kipo kwa idhini ya Mwenyezi Mungu ila mimi kama sio mwanamke nisingekuwepo hapa kwa jinsi nilivyo.
mama yangu mzazi alifariki nikiwa na umri wa mwezi mmoj bibi yangu ndie alienilea...
Bak ya Dunia inatarajia kuidhinisha mkopo wa elimu kwa Tanzania wa dola za kimarekani millioni mia tano ($500M) sawa na pesa za kitanzania Trillion 1.3 ambao ulisitishwa hapo mwezi January 2020 baada ya wanasiasa na wanaharakati kuingilia kati.
Hayo yamejiri baada ya serikali ya Tanzania kwenda...
Hili ni onyo ninalolielekeza kwa wanasiasa wenzangu , na hasa wale wenye wito na maono ya kugombea ubunge , Udiwani na Urais kama mimi .
Andikeni ukweli na haki bila kutumikishwa kwa gharama ndogo au kubwa ili kujijengea heshima mbele ya jamii , Kwa sasa jf ndio pahala panapotumika na wananchi...
Naomba niwasabahi wanachama wa jf,hamjambo?
Naomba niende kwenye hoja yangu juu ya wafuasi na wanachama wa CHADEMA,Naomba niweke kumbukumbu sawa, hakuna mwaka ambao chadema aliwahi kuvuna wanachama wengi toka CCM kama mwaka wa Mafuliko 2015, ambapo watu mashuhuri toka CCM walijiunga na CHADEMA...
Ni Zitto akinukuu utafiti wa wataalamu wa Benki ya Dunia kupitia twitter:
Utafiti wa Wataalamu wa Benki ya Dunia (World Bank
Chief Economist) umeonyesha kuwa zaidi ya Dola za Marekani 680 milioni zimewekwa kwenye Benki za kigeni na Watanzania kutokana na kuongezeka kwa misaada na mikopo kutoka...
Niko hosptali moja hapa Goba naona kilio na simanzi vimetawala.
Nilipouliza baadhi ya ndugu wakasema dada wa kazi alikuwa akimlazimisha mtoto kula mchele ukaingia koo la hewa.
Walipomfikisha wakakuta mtoto bado anahangaika, Hospitali wakajaribu kumsaidia ndipo wakatoa punje kadhaa za mchele...
Zitto kuandika barua Benki ya Dunia siyo kosa ndiyo, ila kosa ni kutumia nembo ya Bunge kuiandikia Benki ya Dunia, na kusaini barua kama Mbunge wa JMT, wakati Bunge halikuwa na taarifa rasmi kuhusiana na barua yake hiyo.
Zitto alitakiwa aandike barua hiyo kama Kiongozi Mkuu wa ACT Wazalendo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.