Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,468
- 23,744
Kitendo cha Kumchukua Morrison kimetuvuruga sana. Maumivu yake bado mabichi kabisa. Simba mngechukua hata nzima lakini siyo Morrison.
Sasa leo hii tunalipiza. Hatutawaacha salama. Tunalipiza sababu kisasi ni Sunna. Tutapiga kwenye chembe ya moyo.
SUBIRINI MAMBO YANAKUJA MUDA SI MREFU.
Nlitamani awe Chama. Deo Kanda Bado Hatujawaumiza Simba. Kule hakuwepo kwenye first eleven. 😔😔😔😔😔😔😔
Sasa leo hii tunalipiza. Hatutawaacha salama. Tunalipiza sababu kisasi ni Sunna. Tutapiga kwenye chembe ya moyo.
SUBIRINI MAMBO YANAKUJA MUDA SI MREFU.
Nlitamani awe Chama. Deo Kanda Bado Hatujawaumiza Simba. Kule hakuwepo kwenye first eleven. 😔😔😔😔😔😔😔