Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 13,589
- 19,659
Kifo, hatusemi sana , ila kinatukumbusha kutoa maamuzi kwa haki, lakini pia ukifika umri wa kupumzika fanya hivyo.
Jaji Mwenzangu pole sana na hukomRombo najua watakuwa wanaendelea na maandalizi mema.
Judiciary itatuma uwakilishi
Taarifa za Mipango ya Mazishi zitajulikana baadaye.