Huku bado lock-down inaendelea wakuu japo Cha kushukuru ni maambukizi mapya yamepungua sana na huenda masharti yakalegezwa siku za hivi karibuni, lakini kipindi hiki ambacho hatuna ratiba nyingine nimeamua tuwe tunajadili mambo muhimu na yenye afya kwa vijana wenzangu.
Leo tujadili hasa umuhimu...
Tukiachana na layer na sifa zake kwa kuongezeka joto kadri mtu unavyo zidi teremka chini ya ardhi
Layer zenyewe zikiwa zinajulikana kama,
-mantle(2)
-crust(1)
-core(3)
Je unaisi itakuaje mtu akichimba shimo kutoka pande moja ya dunia shimo litokee upande wapili je akiruka kudumbukia kutoka...
Habari wana JF
Kila siku najiuliza bila kupa majibu. Hivi soko la Dunia lipo nchi gani? Kama kuna mtu anjua lilipo anifahamishe Maana ni muda najiuliza bila kupata majibu
====
Majibu
Tume ya Uchaguzi ( NEC) ndio husimamia na kuendesha chaguzi za Rais, wabunge na madiwani.
Vyama vya siasa ni wadhamini tu wa wagombea ambao kwa mujibu wa katiba ni lazima wawe wanachama wa vyama vya siasa.
Bunge kama muhimili ni chombo cha Wananchi ambacho hupokea majina ya wabunge ama wa...
Kamanda wa Polisi Wilaya ya Ukerewe, Masoud Mohamed amefariki dunia ghafla akiwa ndani ya hoteli.
Afande Masoud alijizolea umaarufu katika mitandao ya kijamii kwa usomaji wa Quran.
Taarifa zaidi kutoka Jeshi la Polisi zitakujia.
======
OCCID wa Wilaya ya Ukerewe Mkoani Mwanza,Masoud...
Mmiliki wa mabasi ya Kirumo Charo na Katibu Mkuu wa chama cha wamiliki wa mabasi TABOA, Ndg. Enea Mrutu ambaye pia ni diwani wa kata ya Shighatini CCM wilayani Mwanga mkoani Kilimanjaro, amefariki dunia baada ya kubanwa kifua ghafla Mwirange disp. Mwanga!
Pia soma
> Chama cha Wamiliki wa...
TANZIA
Ndugu yangu wa karibu Dr. KINABO anayemiliki Dispensary za Avenue hapa Dodoma, amefariki leo asubuhi. Nikiwa mwanafamilia naendelea kuisihi Serikali iwe serious na changamoto inayolikabili Taifa kwa sasa. Mchezo wao ndio mauti yetu. RIP Daktari.
Mkuu wa Wilaya ya Nyang'wale Mkoa wa Geita, Hamim Buzohera Gwiyama, amefariki leo Mei 7, 2020 Saa 5:00 Asubuhi katika Hospitali ya Rufaa Bugando baada ya kuugua kwa muda mfupi. .
Msafwa,
Uporoto, Mbeya..
Wakuu, Mpelelezi Mkuu wa PCCB ndugu John Minyenya afariki dunia usiku wa kuamkia leo Hospitali ya Hindu Mandal baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Bwana Minyenya alikuwa miongoni mwa viongozi wa juu waliopeleka taarifa ya pelelezi mbalimbali za tuhuma wakati wa kukabidhi ripoti kuu ya PCCB ya...
Katibu wa Jumuiya ya wazazi ya CCM mkoa wa Kilimanjaro ndugu Lugano Mwafongo amefariki dunia muda mfupi uliopita katika hospitali ya rufaa ya KCMC mkoani Kilimanjaro alipokimbizwa kwa matibabu.
Bwana alitoa na bwana ametwaa, jina lake lihimidiwe!
WABUNGE VIJANA JIFUNZENI KUWA WATII KWA VYAMA VYENU, HAKUNA CHAMA DUNIANI AMBACHO KINA ENDEKEZA YEYOTE AMBAYE HATII MAAZIMIO YA CHAMA HATA KAMA HAKUBALIANI NAYO. CCM NI MFANO MZURI. MUDA HUU WOTE WAPO BUNGENI KWA SABABU MWENYEKITI AU CHAMA KIMEWATAKA WAENDELEE KUWA BUNGENI PAMOJA NA KWAMBA KUNA...
Mkurugenzi wa Shirika la Kimataifa linalojishughulisha na masuala ya Afya – ICAP kutoka Chuo Kikuu cha Columbia New York, Dkt. Fernando Morales amefariki dunia
Habari zaidi kukujia punde
WASIFU WAKE (KWA UFUPI)
Dr. Fernando Morales is ICAP’s country director in Tanzania. In this role, he...
Uongozi wa Mahakama ya Tanzania unasikitika kutangaza kifo cha Mtumishi wake, Hakimu Mkazi Mfawidhi wa Mahakama ya Wilaya ya Geita Mhe. Gabriel Nimrod Kurwijila kilichotekea jana jioni tarehe 3/5/2020 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando Mwanza alikokuwa akipatiwa matibabu.
Mchungaji na mwalimu Dkt. Peter Mitimingi wa Kanisa la Ghala la Chakula au kwa kimombo “Warehouse Christian Centre(WCC)” amefariki dunia, usiku huu. Mchungaji Mitimingi alizaliwa mwaka 1975.
Kabla ya kuanzisha kanisa lake hilo, alihudumu TAG kama mchungaji msaidizi na baadaye kuanzisha huduma...
Fayazz ambaye alikuwa Mkuu wa Aga Khan Outreach services amefariki dunia mapema usiku wa kuamkia leo.
Fayazz ni mfamasia kitaaluma.
Kliniki zote za Dar za Aga Khan (ukiacha main Hospital) ndio alikuwa anaongoza.
Rais Magufuli anatangaza kifo cha Waziri wake wa Katiba na Sheria, Balozi Dkt. Augustine Mahiga aliyefariki leo alfajiri Mei 01, Jijini Dodoma
Taarifa iliyotolewa na Ikulu imesema Waziri huyo aliugua ghafla akiwa nyumbani kwake na alifikishwa hospitalini akiwa tayari ameshafariki dunia...
Ndugu zangu
kwanza niwape pole waathirika wote na wafiwa wa ugonjwa wa corona ndo mapito tuwe na imani corona itaondoka, ila itaondoka pale tu sisi binadamu tutakapokuwa wanyenyekevu mbele ya Mungu.
Hii corona ni pigo kutoka kwa Mungu kwa sababu sisi wanadamu ni washenzi tumezidi maasi na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.