Mtini
JF-Expert Member
- Apr 28, 2011
- 1,487
- 2,344
Wamarekani wamepigwa ban dunia nzima isipokuwa kwa nchi chache tu kama inavyoonekana kwenye ramani. Nchi ya Marekani ndio nchi inayoongoza kuwa na watu wengi wanaopenda kutalii na wenye mkwanja mrefu yaani sio watalii njaa kama mnakumbuka maneno ya Mh. Rais kipindi kile anaweka vat kwenye utalii, alisema TZ hatuhitaji watalii njaa. Tanzania kuwa miongoni mwa nchi chache zinazoruhusu wamarekani, je mkwanja wa utalii na ajira kuongezeka?