dodoma

  1. J

    JamiiForums Tanzania Jiji la Dar es Salaam laongoza kwa kukusanya mapato kipindi cha robo mwaka na Jiji la Dodoma limeshika nafasi ya mwisho

    Waziri wa Tamisemi mh Jaffo amesema Jiji la Dsm limeongoza kwa ukusanyaji mapato kwa upande wa majiji kwa kukusanya wastani wa 38% ya lengo lake la mwaka. Jiji la Dodoma limeshika nafasi ya mwisho kwa kukusanya wastani wa 18% ya lengo lake la mwaka. Upimaji huu ni kwa kipindi cha robo ya...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna ubalozi hata mmoja umeanza kujenga ofisi za ubalozi Dodoma?

    Tangu serikali itangaze kuhamia Dodoma na baadae kuwagawaia bure viwanja mabozi wanaowakilisha nchi zao hapa nchini,kuna nchi hata moja imeonyesha ni ya kujenga ubalozi kue mkoani Dodoma? Ni kweli kila nchi ina taratibu zake za kutekeleza jambo kama hili, ila kwa muda wote huu, nilitarajia...
  3. F

    JamiiForums Tanzania Plot4Sale Eneo ekari 3.77 linauzwa ndani ya jiji la Dodoma, liko barabarani

    Eneo liko Msalato almaarufu kwa mwinyi (Arusha Road) kunakojengwa Dodoma International Airport. Eneo liko barabarani linapakana na hotel ya kitalii ya FANTANCY.....lina ukubwa wa ekari 3.77, Eneo limepimwa na limeingizwa kama lilivyo kwenye master plan ya jiji la Dodoma kama ilivyo onekana...
  4. Changes boy

    JamiiForums Tanzania Bei ya mbogamboga veg kwa kg

    Naitaji kujua bei ya kg 1 ya mboga mboga kama mchicha, spinach, Chinese , majani ya maboga na figili kwa uliokatwakatwa
  5. Changes boy

    JamiiForums Tanzania Dodoma city photo

    Picha Kali za dodoma. Makao makuu na jiji
  6. Jackson94

    JamiiForums Tanzania Stendi kuu ya mabasi Dodoma kwenda Ihumwa

    Wakuu naomba kufahamu nauli ya Kutoka Stendi kuu ya Mabasi Dodoma kwenda Ihumwa (Mji Mpya) Ni shilingi ngapi? Na pia nahitaji kujua Umbali wake. Tafadhali sana nahitaji msaada wenu wakuu.
  7. J

    JamiiForums Tanzania Rais Magufuli ameshatimiza ndoto mbili za mwalimu Nyerere, kuhamia Dodoma na Stiegler's Gorge. Bado ndoto moja!

    Mwalimu Nyerere kama kiongozi alikuwa na ndoto zake na miongoni mwa ndoto hizo ni pamoja na Kuhamishia makao makuu ya serikali Dodoma, pili kumiliki njia kuu za uchumi na tatu kuwa na bwawa kubwa la kuzalisha umeme Stieglers Gorge. Katika uongozi wake kama Rais, Dr Magufuli ameweza kuhamishia...
  8. D

    JamiiForums Tanzania Madereva wa Uber, Taxify na Rova Dar es Salaam

    Madereva wenye uzoefu na kazi na wanaoijua kazi wanapatikana kwa wakazi wa Dar es salaam ,Dodoma na Mwanza. SIFA ZAO ★Wanajua ufundi wa magari ★Wamepitia mafunzo ya udereva ★Hawana rekodi mbaya ya kutokamilisha hesabu ★wastaarabu ★Wasafi Wasiliana na sisi tunguunganishe moja kwa moja na dereva...
  9. D

    JamiiForums Tanzania TAXIFY DODOMA

    Mfumo wa usafiri wa kimtandao wa Taxify sasa wawafikia wakazi wa dodoma. Kwa yeyote anaehitaji madereva wa hesabu au mkataba usisite kuwasiliana na jobsfacilitators@gmail.com Madereva wanapatikana, wastaarabu na waaminifu na wenye uzoefu na kazi. Gari...
  10. Fukara

    JamiiForums Tanzania Yaliyojiri katika Uzinduzi wa Ukumbi mpya wa CCM Dodoma

    Mgeni rasmi ni Rais Jakaya kikwete, namuona Ali shein, Kinana na Makamu wa rais Billal. Rais kikwete anatoa hotuba fupi na kuwashukuru watanzania na wana CCM Hitilafu inatokea mic zinagoma wanabaki kushangaa. Bado anazungumzia jengo jipya na kuhusu pia niya ya kukodisha jengo hilo kwa...
  11. shadow recruit

    JamiiForums Tanzania Kicks and blows as CCM marks 36th year

    By Elisha Magolanga, Florence Mugarula Dodoma/Kigoma. An exchange of blows between some ruling CCM carders and those of the main opposition Chadema almost spoilt the countrywide celebrations to mark the formers 36 years since its founding, the cause of the fight being a venue in Dodoma...
Back
Top Bottom