Nsoji go Nvaa
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 757
- 1,442
Ndugu Rashid Dalai, mmiliki wa shule ya kiislamu ya Zam zam iliyopo Dodoma na pia Mkurugenzi wa taasisi ya Islamic Foundation amekutwa amekufa ndani ya ofisi yake iliyopo ktk jengo moja na ofisi za Magazeti ya Serikali (Habari leo na Daily News) hapa Dodoma mjini maeneo ya Nyerere Square (karibu na bank ya NMB Mazengo).
Mwili wake umekutwa jana, Desemba 25 lakini inasemekana maiti yake imekaa takribani siku 5 mpaka ilipogundulika jana na kukuta mwili uko uchi wa mnyama huku akiwa na majeraha ya kisu tumboni na inasemekana ana majeraha kwenye uume na huku akiwa amefungwa kamba kwenye kiti.
Kanzu yake imekutwa imewekwa pembeni haina hata doa la damu.
Ikumbukwe mwaka huu maeneo ya Morena Hotel pia mfanyakazi wa TAMISEMI naye alikutwa kafa ndani ya gari eneo la parking.
Tunaomba sasa ulinzi uimarishwe na camera zifungwe majengo yote muhimu jijini Dodoma.
Development story:
Mamia ya wakazi wa dodoma na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kumzika sheikh rashid bura hii inaonyesha kweli alikuwa kipenz cha watu lkn ktk mikusanyiko ya watu maneno hayakosekani baadhi ya watu wanadai Siku ya jumapili alisafiri na basi la kimbinyiko kutoka dar kwenda dom,pia kuna tetesi kua mkurugenzi wa kwanza wa hio taasisi nae alikufa kifo cha kutatanisha ..hizi ni tetesi tu mwenye info zaidi aongeze nyama kuna watu wanauliza ofisi zikoje hizo ofisi ni haya majengo ya msajili kila mtu au taasisi wanakodi ofisi kila mtu chumba chake so vigumu sana kumonitor nani kaingia nani katoka mtu unaweza kuingia na kutoka bila kuulizwa hata wa kukuuliza hayupo ni jengo la kama ghorofa 3 hv kwa kweli liko very locally
Habari zaidi, soma:
Mwili wake umekutwa jana, Desemba 25 lakini inasemekana maiti yake imekaa takribani siku 5 mpaka ilipogundulika jana na kukuta mwili uko uchi wa mnyama huku akiwa na majeraha ya kisu tumboni na inasemekana ana majeraha kwenye uume na huku akiwa amefungwa kamba kwenye kiti.
Kanzu yake imekutwa imewekwa pembeni haina hata doa la damu.
Ikumbukwe mwaka huu maeneo ya Morena Hotel pia mfanyakazi wa TAMISEMI naye alikutwa kafa ndani ya gari eneo la parking.
Tunaomba sasa ulinzi uimarishwe na camera zifungwe majengo yote muhimu jijini Dodoma.
Development story:
Mamia ya wakazi wa dodoma na vitongoji vyake wamejitokeza kwa wingi kumzika sheikh rashid bura hii inaonyesha kweli alikuwa kipenz cha watu lkn ktk mikusanyiko ya watu maneno hayakosekani baadhi ya watu wanadai Siku ya jumapili alisafiri na basi la kimbinyiko kutoka dar kwenda dom,pia kuna tetesi kua mkurugenzi wa kwanza wa hio taasisi nae alikufa kifo cha kutatanisha ..hizi ni tetesi tu mwenye info zaidi aongeze nyama kuna watu wanauliza ofisi zikoje hizo ofisi ni haya majengo ya msajili kila mtu au taasisi wanakodi ofisi kila mtu chumba chake so vigumu sana kumonitor nani kaingia nani katoka mtu unaweza kuingia na kutoka bila kuulizwa hata wa kukuuliza hayupo ni jengo la kama ghorofa 3 hv kwa kweli liko very locally
Habari zaidi, soma:
Polisi: Mmiliki wa shule ZamZam amefariki kwa matatizo ya moyo, hakuna viashiria vya mauaji. Familia yatofautiana na Polisi
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, Gilles Muroto, amesema kuwa kufeli kwa moyo na kukosa msaada wa haraka wa matibabu, ndiyo chanzo cha kifo cha Sheikh Rashid Bura, ambaye ni mmiliki wa shule za Zamzam mkoani humo. Kamanda Muroto amebainisha hayo leo Disemba 27, 2019, na kusema kuwa mara baada...
www.jamiiforums.com