johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,949
- 141,928
Rais Magufuli amesema hakumtoa Dr Mahenge mkoani Ruvuma na kumleta Dodoma kwa bahati mbaya bali alifanya hivyo kwa kuwa anaujua uwezo wake tokea akiwa waziri wa Mazingira.
Rais Magufuli amesema Dr Mahenge anaibadilisha Dodoma kwa kasi ya ajabu na mkoa huo unaelekea kwenda kuupiku mkoa wa Dsm kwa maendeleo.
Dr Magufuli ameyasema hayo wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa soko kuu la mkoa na stendi kuu ya mabasi.
Source TBC!
Maendeleo hayana vyama!
Rais Magufuli amesema Dr Mahenge anaibadilisha Dodoma kwa kasi ya ajabu na mkoa huo unaelekea kwenda kuupiku mkoa wa Dsm kwa maendeleo.
Dr Magufuli ameyasema hayo wakati alipotembelea mradi wa ujenzi wa soko kuu la mkoa na stendi kuu ya mabasi.
Source TBC!
Maendeleo hayana vyama!