technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 11,975
- 48,843
Anasema ata akifa leo makao makuu yatakuwa dodoma hayawezi kurudi dar maana ni kuvunja sheria anasema anaweza ondoka akaja mtu akataka makao makuu yarudishwe dar never haitatokea itakuwa ni uvunjifu wa katiba.
My take: kumbe yeye akivunja katiba nisawa ila hataki wengine wavunje kama yeye?
My take: kumbe yeye akivunja katiba nisawa ila hataki wengine wavunje kama yeye?