Hakuna muhamasishaji wa kuanzisha na kutunza Miti.Mkuu wa mkoa na Mkurugenzi wa Dodoma,wote hawapendi miti.Mawazo na Akili zao ni kuuza Ardhi,ili wapate sifa ya Makusanyo.Kitu hiki walitakiwa kutoa Amri kwa Watendaji na Wenyeviti wa mitaa walazimishe kila Kaya ipande miti Kumi na kuitunza kwa Lazima,na iwe hivyo kila mwaka.Kama walivyotaka kufanya kwenye Miche ya korosho,ambapo iligaiwa kila ofisi Serikali ya mtaa,wafanye hivyohivyo
Nimepita hapo Dodoma jumatatu iliyopita hakika panahitajika nguvu kubwa Sana ili angalau pafanane na dar
Aisee zile roundabout zilinichanganya Sana kuja kuipata barabara ya kuelekea Mwanza nakumbuka niliingia Dodoma alfajiri saa 12 nikitokea dar.....nilipata shida ya kuuliza watu njia ya kuelekea Mwanza mpaka roundabout ya mwishoDodoma wanashindwa kutunza hata round about!Huyu mkurugenzi simwelewi kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna muhamasishaji wa kuanzisha na kutunza Miti.Mkuu wa mkoa na Mkurugenzi wa Dodoma,wote hawapendi miti.Mawazo na Akili zao ni kuuza Ardhi,ili wapate sifa ya Makusanyo.Kitu hiki walitakiwa kutoa Amri kwa Watendaji na Wenyeviti wa mitaa walazimishe kila Kaya ipande miti Kumi na kuitunza kwa Lazima,na iwe hivyo kila mwaka.Kama walivyotaka kufanya kwenye Miche ya korosho,ambapo iligaiwa kila ofisi Serikali ya mtaa,wafanye hivyohivyo
Sent using Jamii Forums mobile app