King Kisali
JF-Expert Member
- Nov 20, 2019
- 1,042
- 1,349
Hapa ndipo itakapokuwa makao mkuu ya jeshi la polisi Tanzania mkoani Dodoma.
Kwa hiyo unataka Kupinga Hadi hii."....awapatia...";? Jengo halikuwa na mwenyewe lililpokuwa linajengwa?
Nioneshe nilipopinga!Kwa hiyo unataka Kupinga Hadi hii.
Hilo lilianza kujengwa zamani labda ndo style ya wakati huo, cha msingi liwe na ofisi za kutosha kufanyia kazi iliyokusudiwa."....awapatia...";? Jengo halikuwa na mwenyewe lililpokuwa linajengwa?
Hivi wachoraji wa majengo nchi hii wote wamehama? Naona majengo yenye muonekano wa ajabu sana siku hizi! Jengo halina mvuto katika mwonekano wake. Na huu ni mji wetu mkuu mpya, mandhari yake itakuwaje?
Wewe mwenyewe ndiyo mkuu waoKitengo cha Kusifu na Kuabudu kiko wapi?kinafeli sanaaa..itabidi mkuu wao atumbuliwe mana hadi sasa hawaonekani kabisa kwenye huu uzi..
Umeshindwa kutress tatizo kwenye mtoa hoja ulichohighlight sio ishu.Ishu ni kusema jengo halina mvuto mbona liko poa kwa majengo ya gharama nafuu!Kwa hiyo unataka Kupinga Hadi hii.
wapinzani tanzania mmejaa ukakasi na ni janga la kitaifa.Neno “amewapatia” it’s like jengo halikuwa na mwenyewe. Lilikuwepo bila plan. Kama vile nakupatia buku means lile buku sio issue sikuwa na plan nayo kubwa. Hapo Ndio ukakasi unapokuja
'Mentality' ya hovyo kabisa hii.cha msingi liwe na ofisi za kutosha kufanyia kazi iliyokusudiwa.
Yupo crocodile channel ameshatupiaKitengo cha Kusifu na Kuabudu kiko wapi?kinafeli sanaaa..itabidi mkuu wao atumbuliwe mana hadi sasa hawaonekani kabisa kwenye huu uzi..
Safi kabisa.Hilo lilianza kujengwa zamani labda ndo style ya wakati huo, cha msingi liwe na ofisi za kutosha kufanyia kazi iliyokusudiwa.
Tupatie gharama yake tuone huo unafuu.Umeshindwa kutress tatizo kwenye mtoa hoja ulichohighlight sio ishu.Ishu ni kusema jengo halina mvuto mbona liko poa kwa majengo ya gharama nafuu!
Hakika kazi nzuri..Habari nzuri
Ukitaka lenye mvuto jenga lako. Kwani umeambiwa hotel hiyo hadi likuvutie.?"....awapatia...";? Jengo halikuwa na mwenyewe lililpokuwa linajengwa?
Hivi wachoraji wa majengo nchi hii wote wamehama? Naona majengo yenye muonekano wa ajabu sana siku hizi! Jengo halina mvuto katika mwonekano wake. Na huu ni mji wetu mkuu mpya, mandhari yake itakuwaje?