johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,903
- 141,850
Baada ya Rais wetu mpendwa Dk. Magufuli kutimiza ndoto ya baba wa taifa ya kuhamia Dodoma ni wakati sasa wa kufikiria ndoto ya pili ya Mwalimu Nyerere ya kuwa na muungano wa serikali moja.
Dodoma ni katikati ya ramani ya muungano wetu hivyo serikali kuhamia katika jiji hilo ni ishara nzuri ya kumalizia kiporo cha serikali moja. Kwa kukumbushana tu Singida anakotokea Tundu Antipas Lissu ndio katikati ya nchi iliyokuwa inaitwa Tanganyika.
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!
Dodoma ni katikati ya ramani ya muungano wetu hivyo serikali kuhamia katika jiji hilo ni ishara nzuri ya kumalizia kiporo cha serikali moja. Kwa kukumbushana tu Singida anakotokea Tundu Antipas Lissu ndio katikati ya nchi iliyokuwa inaitwa Tanganyika.
Ni hayo kwa uchache.
Maendeleo hayana vyama!