New City Project
Member
- Dec 10, 2019
- 82
- 37
Hatimaye Serikali umeamua kufungua kiwanda kikubwa na cha kisasa cha kusindika mbogamboga maana sasa hivi akina mama wengi wanafunga mboga zao, Serikali imeamua kuboresha na kuandaa kiwanda kitakachoajiri watu 100,000 na kupewa mishahara ya laki 5.
Hakika hakuna kiwanda kilichokufa vyote vipo Kwa ajili ya story ya kuvifufua
Hakika hakuna kiwanda kilichokufa vyote vipo Kwa ajili ya story ya kuvifufua