johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Nauliza tu kwa wajuzi wa itifaki maana sasa kiti cha Rais kimehamia Dodoma, je hapo magogoni patajulikana kama Ikulu ndogo?
Je, ofisi za mkuu wa mkoa zitahamia humo magogoni au pale ilipokuwa wizara ya elimu ili iwe jirani na Ikulu ndogo kama ilivyo katika mikoa mingine?
Nasubiri majawabu
Maendeleo hayana vyama!
cc: Pascal Mayalla
Je, ofisi za mkuu wa mkoa zitahamia humo magogoni au pale ilipokuwa wizara ya elimu ili iwe jirani na Ikulu ndogo kama ilivyo katika mikoa mingine?
Nasubiri majawabu
Maendeleo hayana vyama!
cc: Pascal Mayalla