Information privacy is the relationship between the collection and dissemination of data, technology, the public expectation of privacy, and the legal and political issues surrounding them. It is also known as data privacy or data protection.
Data privacy is challenging since it attempts to use data while protecting an individual's privacy preferences and personally identifiable information. The fields of computer security, data security, and information security all design and use software, hardware, and human resources to address this issue.
Ikiwa ni Siku ya pili (Nov 8) ya Tamasha la Jinsia kutoka TGNP, JamiiForums inashiriki kwenye Mjadala kuhusu 'Ushirikishwaji wa Wanawake na Wasichana katika Usalama wa Kidijitali na Faragha ya Taarifa'
Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali...
Katika Dunia hii ya Kidigitali, #Haki ya Faragha na Ulinzi wa Taarifa Binafsi sio suala la kujifurahisha bali ni Hitaji muhimu
Wakati mwingine tunapohitaji Huduma tunatakiwa kutoa Taarifa zetu Binafsi. Lakini je; Kiasi cha Taarifa zinazokusanywa, Matumizi na Uhifadhi wake upoje? Faragha...
Siku ya Ulinzi wa Faragha ya Taarifa Binafsi (Data Privacy Day) inaadhimishwa kila Januari 28
Haki ya Faragha inawezesha Raia kufurahia Haki nyingine kama:
- Uhuru wa Mawazo
- Uhuru wa Kujieleza
- Uhuru wa Kukusanyika
Ni Msingi wa Jamii ya Kidemokrasia
Katika Nchi nyingi, Faragha...
Faragha ya Data/Taarifa limekuwa suala muhimu siku zote, lakini kadri Taarifa zetu zinavyozidi kuwekwa kidigitali na kutolewa zaidi Mitandaoni, umuhimu wake umezidi kuongezeka
Kampuni moja inaweza kuwa na Mamilioni ya taarifa za wateja ambazo inapaswa kuzilinda. Sheria za Kulinda Taarifa...
Januari 28 ni Siku ya Ulinzi wa Faragha ya Taarifa Binafsi, ikiwa ni jitihada za kimataifa kujenga ufahamu kuhusu umuhimu wa kuheshimu Faragha
Ulinzi wa Faragha ya Taarifa binafsi ni Haki ya Msingi ya Binadamu kwa mujibu wa Ibara ya 12 ya Tamko la Haki za Binadamu la Umoja wa Mataifa la Mwaka...
Ku-share data/taarifa binafsi imekuwa muhimu katika kufanya kazi zetu za kila siku na kushirikiana na watu wengine katika jamii.
Mwingiliano wetu na mashirika na taasisi mbalimbali unahusisha ubadilishanaji wa data/taarifa binafsi.
Hizi data/taarifa binafsi ni taarifa yoyote inayokuhusu, iwe...
Na Prisca Ulomi, WMTH
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt Faustine Ndugulile amesema kuwa Wizara yake iko mbioni kupeleka Bungeni muswada utakaowezesha kutungwa kwa Sheria ya Kulinda Taarifa Binafsi iili kulinda faragha na taarifa za mwananchi.
Dkt. Ndugulile ameyasema hayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.