taarifa binafsi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Megalodon

    JamiiForums Tanzania Labda BAKITA itufafanulie upya maana ya Taarifa binafsi

    Waziri Katambi ameeleza kwamba NIDA sio taarifa binafsi, Umri sio taarifa binafsi, namba ya simu sio taarifa binafsi Huyu ni waziri mkubwa ndani ya baraza la mawari: Sina hakika sana na level ya elimu yake : lakini naishauri BAKITA kutoa tafsiri rasmi ya nini kinachoangukia ndani ya neno...
  2. W

    JamiiForums Tanzania Je, ni sawa kwamba kitambulisho cha taifa (NIDA) sio taarifa binafsi kama asemavyo Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Katambi?

    Kuna wakati unamsikiliza kiongozi mkubwa wa serikali akiongea hadharani, unalazimika kushika kichwa na kujiuliza: hivi hawa watu huwa wanasoma hata vile vitabu wanavyoviasaini au huwa wanaongea kwa mihemko na jazba??? Hicho ndicho unachokipata ukimsikiliza Waziri wa mambo ya ndani ya nchi...
  3. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Katambi: Kitambulisho cha Taifa si taarifa binafsi

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi. Katambi amesema taarifa zilizopo kwenye Kitambulisho cha Taifa si za siri...
  4. McLaren

    JamiiForums Tanzania Waziri Patrobas Katambi: Kitambulisho cha NIDA sio taarifa binafsi. Ni Public na ndio maana mnasheherekea Birthday

    Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, amesema kutoa Kitambulisho cha Taifa (NIDA) unapotembelea nyumba ya kulala wageni hakumaanishi kuanika taarifa binafsi, kwani kitambulisho hicho si taarifa binafsi. Soma Pia: Waziri Katambi: Wamiliki wa Hoteli, AirBnB, Guest Houses na Lodge...
  5. Nyendo

    JamiiForums Tanzania Sheria ya ulinzi wa Taarifa binafsi ilitungwa kufuatwa na watu wengine tu? Waziri wa Katiba na sheria anataja jina na namba za simu za mtu

    Ni ajabuWaziri wa katiba na Sheria kutaja jina, eneo, mtu alikokuwa anafanyia kazi na namba ya simu ya mteja anayemuhudumia, haoni kuwa anavunja sheria ya ulinzi wa taarifa binafsi za mtu. Au hajui kuwa hizo taarifa zinapaswa kuwa siri hazitakiwi kuwekwa hadharani kama alivyofanya yeye Waziri...
  6. M

    JamiiForums Tanzania Assenga: Wananchi wengi hawana elimu ya kutosha ya utunzaji na matumizi sahihi ya taarifa, hivyo kupelekea upatikanaji holela wa taarifa

    Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Miundombinu, Aboubakar Assenga amesema ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa wananchi, taasisi za serikali ni suala la kipaumbele katika ustawi wa nchi pamoja na ulinzi na usalama wa nchi. Anasema kamati imebaini kuwa wananchi wengi wakiwemo watumishi wa umma na sekta...
  7. Alloyce PR

    JamiiForums Tanzania Muhimu: ulinzi wa taarifa binafsi

    Tahadhari; kuwa makini na barua pepe zote zinazotumwa kupitia normal messages au kwenye email yako. Hususan zile zinazokuvutia kama scholarship, paper submission, conference invitations, mikopo na nyingine zinazofanana na hizo. Wadukuaji wengi hutumia njia hizi kupitia mbinu kama ClearFake au...
  8. greater than

    JamiiForums Tanzania Je, nani anatoa taarifa binafsi za wananchi kwenda makampuni ya Mitandao ya Simu?

    Jumatatu ya leo ya tarehe 13/04 ni kumbukizi ya siku ya kuzaliwa. Asubuhi nilipokea pongezi kutoka kwa marafiki na jamaa kupitia jumbe za meseji za kawaida na WhatsApp. Ilipofika mida ya saa 4 Asubuhi, nikapokea meseji kutoka Airtel, ikintakia heri ya siku ya kuzaliwa.Nilifurahi lakini baada...
  9. W

    JamiiForums Tanzania Fanya hivi kabla hujatupa karatasi yoyote yenye taarifa binafsi...

    Nyaraka hizi zikiangukia mikono mbaya, zinaweza kutumika kwa utapeli (identity theft), kuibiwa pesa, au kuharibu sifa ya mtu/kampuni. Chanachana (Shredding): ✂️ Hii ndio njia salama zaidi. Ikiwa huna mashine ya "shredder" ofisini au nyumbani, hakikisha unachana karatasi hizo vipande vidogo...
  10. W

    JamiiForums Tanzania Kusambaza taarifa binafsi kuhusu migogoro ya kifamilia ya watu bila idhini ya wahusika ni kukiuka haki ya faragha

    Kwa mujibu wa wa kifungu cha 60 & 63 cha Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi Toleo Namba 44 la 2023 kusambaza taarifa binafsi kuhusu migogoro ya kifamilia ya watu bila idhini ya wahusika ni kukiuka haki ya faragha. Na iwapo ukapatikana na hatia kwa mtu binafsi anapaswa kulipa faini isiyopungua...
  11. W

    JamiiForums Tanzania MDAU, Ni mara ngapi umewahi kukutana na vifungashio vyenye taarifa binafsi za watu?

    Mara nyingi huwa nakutana na taarifa binafsi za watu zikitumika kama vifungashio zikiwa na majina, vitambulisho vya NIDA na leseni. Mara nyingine ni makaratasi ya matokeo ya mitihani au barua za maombi ya kazi zenye sura za watu. Hivi tume ya Ulinzi wa taarifa binafsi iko wapi kusimamia hili...
  12. M

    JamiiForums Tanzania Ukuswanywaji huu wa Taarifa Binafsi kwa wakazi wa Masaki si sawa. Sensa ilikuwa ya nini?

    Hivi kwanini kulifanyika Sensa miaka 4 iliyopita? Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (na Kanuni zake) haijafuatwa na itashangaza kama Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi itakaa kimya huku Sheria ikionekana wazi kuelekea kuvunjwa. Wenye mamlaka wamezoea kufanya vitu kwa mazoea, nyakati kama hizi...
  13. ChekoFagia

    JamiiForums Tanzania Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC): Wanaosambaza taarifa binafsi za watu bila ridhaa yao kuchukuliwa hatua za kisheria

    Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) imesema kuwa mtu au taasisi yoyote itakayobainika kukiuka faragha au kutumia taarifa binafsi bila ridhaa ya muhusika au kinyume na taratibu zilizowekwa kisheria, itawajibishwa ipasavyo bila kujali hadhi au ukubwa wake. Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar...
  14. W

    JamiiForums Tanzania Epuka kupost Taarifa zako binafsi kuepuka Utapeli Mtandaoni

    Ili kujilinda na ukatili na utapeli mtandaoni, ni muhimu kuwa makini na aina ya taarifa unazoshirikisha (share) mtandaoni. Epuka kutoa taarifa binafsi kama namba binafsi za simu, anwani za makazi au picha nyeti. Taarifa hizi zinaweza kutumiwa vibaya na kusababisha ukatili kama vitisho...
  15. S

    JamiiForums Tanzania Hofu ya ulinzi wa taarifa binafsi kwa waomba kazi na wananchi: Uzoefu wangu binafsi kama funzo

    Katika dunia ya sasa ya kidijitali, taarifa binafsi zimekuwa mali nyeti yenye thamani kubwa kuliko hata fedha. Hata hivyo, kwa vijana wengi wahitimu wa vyuo, hususan wanaotafuta ajira au kujihusisha na mifumo ya taasisi mbalimbali, ulinzi wa taarifa binafsi bado ni jambo linalotia hofu kubwa...
  16. Harvey Specter

    JamiiForums Tanzania Ifahamu Misingi ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi

    Taarifa binafsi ni mali ya mhusika (mmliki wa taarifa). Haitakiwi kutolewa na mtu mwingine, kwani mhusika ndiye anayefahamu taarifa zake kwa usahihi, isipokuwa pale inapobidi kisheria au kwa ridhaa yake. Ukusanyaji wa taarifa binafsi unatakiwa kufanywa na mamlaka au vyombo husika kwa kuzingatia...
  17. w0rM

    JamiiForums Tanzania Ulinzi wa Taarifa Binafsi Tanzania: Atozwa faini kwa kuchapisha na kutumia kibiashara picha ya mtoto kwenye Instagram bila ridhaa

    Tume ya Kulinda Taarifa Binafsi nchini imetoa uamuzi kuhusu ulinzi wa taarifa za mtoto kwa kumtoza faini ya shilingi milioni 25 (TZS 25,000,000) kwa kosa la kuchapisha na kutumia kibiashara picha ya mtoto mchanga kwenye Instagram bila ridhaa ya wazazi wake. Miongoni mwa mambo mengine, Tume...
  18. N'yadikwa

    JamiiForums Tanzania MaGuest House, Lodge na baadhi ya Hoteli wanakiuka Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi?

    Wanabodi, leo nimepata nafasi ya kuipitia hii Sheria ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi, na nilichogundua ni jambo la kutia mashaka. Yale malodge, maguest house na hata baadhi ya nyumba ndogo za kulala wageni ambazo huwa "wanawaanika ma baby daddies" au wateja kwa staili ya rejesta za wazi, kwa...
  19. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC): Tunalinda Taarifa Binafsi ili zisiende kwenye mikono isiyo sawa

    Kwanini tunalinda Taarifa Binafsi? Innocent Mungy, Mkuu wa Uhusiano na Mawasiliano - Tume ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi (PDPC) amefafanua kwa kina kuhusu Swali hili wakati wa Mafunzo ya siku moja ya Dhana ya Ulinzi wa Taarifa Binafsi kwa Maafisa Habari wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) na...
  20. W

    JamiiForums Tanzania Raia kupewa Haki Miliki juu ya Mwili na sura zao ili kupambana na Video na Sauti za kughushi

    Denmark iko mbioni kuwa nchi ya kwanza barani Ulaya kutoa haki miliki kwa watu juu ya sura, sauti na miili yao ili kukabiliana na deepfakes za AI. Kupitia pendekezo jipya linaloungwa mkono na karibu vyama vyote nchini humo, sheria ya hakimiliki itarekebishwa ili mtu aweze kudai haki juu ya...
Back
Top Bottom