Computer security, cybersecurity (cyber security), digital security or information technology security (IT security) is the protection of computer systems and networks from attack by malicious actors that may result in unauthorized information disclosure, theft of, or damage to hardware, software, or data, as well as from the disruption or misdirection of the services they provide.The field has become of significance due to the expanded reliance on computer systems, the Internet, and wireless network standards such as Bluetooth and Wi-Fi, and due to the growth of smart devices, including smartphones, televisions, and the various devices that constitute the Internet of things (IoT). Cybersecurity is one of the most significant challenges of the contemporary world, due to both the complexity of information systems and the societies they support. Security is of especially high importance for systems that govern large-scale systems with far-reaching physical effects, such as power distribution, elections, and finance.
Ikiwa ni Siku ya pili (Nov 8) ya Tamasha la Jinsia kutoka TGNP, JamiiForums inashiriki kwenye Mjadala kuhusu 'Ushirikishwaji wa Wanawake na Wasichana katika Usalama wa Kidijitali na Faragha ya Taarifa'
Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali...
Mashambulizi ya kimtandao ni jambo la kawaida katika enzi hizi ambapo teknolojia ya habari na mawasiliano inakua kwa kasi. Maendeleo ya kiteknolojia yameleta faida kubwa katika maisha yetu, lakini pia yameleta changamoto na tishio la usalama wa kimtandao.
Teknolojia inaendelea kuwa sehemu...
Marafiki hao 15 walipanga nyumba huyo kwa ajili mapumziko British Colombia, ndipo usiku mmoja wa mapumziko wao waligundua kulikuwa na camera zilizokuwa zimefichwa kwenye soketi ya umeme zikiwa zimeelekezwa bafuni.
Mmoja wa marafiki hao aliona video kutoka mtandao wa Tiktok ikiongelea kuhusu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.