Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,814
- 11,991
Ikiwa ni Siku ya pili (Nov 8) ya Tamasha la Jinsia kutoka TGNP, JamiiForums inashiriki kwenye Mjadala kuhusu 'Ushirikishwaji wa Wanawake na Wasichana katika Usalama wa Kidijitali na Faragha ya Taarifa'
Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali kutokana na Takwimu nyingi za Kimataifa kuonesha changamoto zinazoendelea kuzuia Wanawake kushiriki kwa usawa katika Sekta ya Teknolojia
Hali ya Kutofikia Teknolojia kutaendelea kuyatenga makundi ambayo tayari yako nyuma, ikiwa ni pamoja na Wanawake na Wasichana wa Vijijini jambo linalowanyima Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Kujieleza.
Mjadala huu utaangazia namna ya kuongeza Ushiriki wa Wanawake kwenye Nyenzo za Kidijitali kutokana na Takwimu nyingi za Kimataifa kuonesha changamoto zinazoendelea kuzuia Wanawake kushiriki kwa usawa katika Sekta ya Teknolojia
Hali ya Kutofikia Teknolojia kutaendelea kuyatenga makundi ambayo tayari yako nyuma, ikiwa ni pamoja na Wanawake na Wasichana wa Vijijini jambo linalowanyima Haki ya Kupata Taarifa na Uhuru wa Kujieleza.