Hii ni aibu kubwa: Ndege tumenunua kwa keshi, vifaa vya kupambana na Corona tumesubiri msaada wa Jack Ma

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,654
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.

Tatizo hapa sio kupokea msaada. Tatizo ni kubweteka na kusubir msaada.

Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.

Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.

Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.

Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?

Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa hata Marekani na nchi kibao zimepokea huu msaada, basi hii ni aibu ya dunia sio Tanzania tu.

Jack Ma

@JackMa

·
2h

Knowledge is power! We launched an online platform for doctors and nurses around the world to exchange ideas, lessons and know-how to fight the virus. We welcome all hospitals to join Chinese hospitals on this open platform

https://covid-19.alibabacloud.com. One world, one fight!
 
.
Screenshot_20200326-075341_Instagram.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa hata Marekani na nchi kibao zimepokea huu msaada, basi hii ni aibu ya dunia sio Tanzania tu.

Jack Ma

@JackMa

·
2h

Knowledge is power! We launched an online platform for doctors and nurses around the world to exchange ideas, lessons and know-how to fight the virus. We welcome all hospitals to join Chinese hospitals on this open platform

https://covid-19.alibabacloud.com. One world, one fight!
Kwa hiyo leo mnajilinganisha na mabeberu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ikiwa hata Marekani na nchi kibao zimepokea huu msaada, basi hii ni aibu ya dunia sio Tanzania tu.

Jack Ma

@JackMa

·
2h

Knowledge is power! We launched an online platform for doctors and nurses around the world to exchange ideas, lessons and know-how to fight the virus. We welcome all hospitals to join Chinese hospitals on this open platform

https://covid-19.alibabacloud.com. One world, one fight!
Amedonate 500,000 test kits, na 1million masks kwa USA. Je wajua kabla ya hapo serikal ya USA ilikuwa imesambaza hizi kits ngapi na maski ngapi?

Je serikal ya Tz mpaka inapokea msaada ilikuwa imefanya juhudi gani interms ya kusambaza test kits na masks?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo ulihitaji tusinunue ndege tusubirie Corona ama majanga mengine kwanza?,halafu nyinyi ndiyo mnataka tuwape ridhaa ya kutuongoza,!
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.

Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.

Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.

Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.

Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?

Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni aibu kubwa eti nchi kubwa kama hii ambayo tumejitapa kujenga nchi kwa pesa zetu na kuwa hatuhitaji misaada, leo hii tumeshindwa kununua vifaa vya kupima na kujilinda na corona mpaka tumesubiri msaada wa Jack Ma.

Wiki mbili zilizopita, serikali ya CCM ilitoa takribani milioni 60 kulipia wafungwa wake fine. Yaani Magufuli alitoa 28m kumlipia Msigwa na Polepole 30 millioni kamlipia Mashinji.

Leo wameshindwa kutoa hata mchango binafsi kununua vifaa vyovyote vya kupambana na corona. Eti wameenda kujificha kwenye mawe huku wakiimba serikali ya wanyonge.

Nchi ina mashine moja ya kupima corona. Mashine 1 tu ina-cost $13,000. Hii ni kma m30. Maana yake ule mchango aliokataa Msigwa ungenunua mashine moja. Na tungesema Mashinji arudishwe gerezani, tungenunua na nyingine ya pili.

Imagine tuuze ndege moja tu na tununue mashine na vifaa vya kutosha. Si tungekuwa na uwezo wa kupima korona kila zahanati?

Inawezekana huu ugonjwa umeshasambaa kila mahali hapa Tz ila hatuwezi kuwa na takwimu sahihi sababu hatuna vifaa vya mass screening. Kinachosubiriwa tu ni wanyonge waanze kufa kama kuku.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa huna cha kuandika ni bora uache siyo kuanika ujinga wako hapa kwenye jukwa la watu wenye busara zao. Nchi zilizoendelea zimepokea msaada huu itakuwa Tanzania!! Lakini pia kumbuka hakuombwa msaada katoa kwa maamuzi na mapenzi yake.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Amedonate 500,000 test kits, na 1million masks kwa USA. Je wajua kabla ya hapo serikal ya USA ilikuwa imesambaza hizi kits ngapi na maski ngapi?

Je serikal ya Tz mpaka inapokea msaada ilikuwa imefanya juhudi gani interms ya kusambaza test kits na masks?



Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo una support my argument? Kuwa kuwa na uwezo hakuzuii taifa kupokea msaada
 
Kwahiyo ulihitaji tusinunue ndege tusubirie Corona ama majanga mengine kwanza?,halafu nyinyi ndiyo mnataka tuwape ridhaa ya kutuongoza,!

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kma tumeweza nunua ndege kwa cash tunashindwaje kununua mashine za kupima wagonjwa? Kma tuliweza nunua ndege maana yake tunapesa nyingi na hata ivyo kuna budget ya pesa ya majanga. Ipo wapi? Inaganya nini?



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hiyo una support my argument? Kuwa kuwa na uwezo hakuzuii taifa kupokea msaada
Wewe ndyo hukuelewa mada usika. Umesoma kichwa cha habari umekimbilia kicoment.

Kinachoulizwa apo ni kuwa yamepokea msaada sasa kabla ya msaada wewe umefanya juhud gani. Nchi kma Tz ilitakiwa iwe imeingiza vifa kma ivyo mara 100 yake kabla hata ya uo msaada kuguka. Yani tumekaa tukabweteka et tunasubil msasda.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyumbu kazi yake kulialia kwa wananchi tu achangiwe faini ya kulipa Magereza ili asifungwe,wakati wanasiasa mahiri hukubali kutumikia kifungo
Tatizo mnatumia kalio kufikiria. Swali apo ni kuwa tumeshindwa hata kununua mashine 1 ya vipimo tunasubir msaada na msada wenyewe ni vitest kits na masks bac.

Swali ni je serikal imefanya juhud gani kupambana na korona?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
heradius12
Mkuu mawazo yako si mabaya ila hayana mashiko.

Msaada kila nchi imepewa,hata marekani.

Ukisoma sana kuna sera ilianzishwa na central bank,kuhusu hawa matajiri wana hodhi fedha nyingi.
Kwa wachumi wenzangu tunafahm kitu hiki.

Lakini pia ni sera mmoja wapo ya uchina kusambaza ideology yake kwa mataifa mengine.
Imagine donation imetolewa kwa takriban nchi zote za africa.

Si kulalamikia mkuu juu ya tz.

Tanzania ni nchi mmoja wapo maskin kiakili kama zingine africa.
Maskin kiakil kwasababu,hatuna akili yakuzitumia resources zilizopo kutupa utajiri..
 
Back
Top Bottom