Wuhan, one of the largest cities in China have been the talk of town since late last year after the first positive case of coronavirus was reported in China. The virus has by Thursday 27th spread in more than 190 countries infecting 492, 443 people worldwide.
The capital city of Hubei province...
14 percent of the recovered patients in China test positive for the coronavirus for a second time.
Doctors in China have revealed that patients that had fully recovered from Covid-19, have contracted the virus again.
There is fear in China that there may be a second coronavirus outbreak in the...
Kwa wenye akili kubwa watakubaliana na Mimi kuwa nchi ya China tayari in dawa ya ugonjwa wa CORONA, ila kwa kuwa hii ni Vita ya kiuchumi, wanasubiri nchi nyingi zikabwe barabara na ugonjwa huu Kisha wapige pesa kwa kuziuzia dawa.
Time will tell.
Inasemekana hadi sasa sekta ya Utalii ndio imepata pigo kubwa sana kufuatia kuzuka kwa ugonjwa wa Corona.
Wataalamu wanasema nchi zinazotegemea sana utalii katika uchumi wake zitayumba sana hata baada ya ugonjwa huu kudhibitiwa. Inashauriwa Wachumi na wanasiasa waanze kubuni sasa mikakati ya...
Mkurugenzi mkuu wa shirika la Afya duniani amesema kwamba chanjo dhidi ya virusi vya cororna itapatikana ndani ya mwaka 1 au mwaka 1 na nusu. Shirika la Afya duniani (WHO) latoa maelezo kuhuiana na chanjo ya virusi vipya vya Corona Tedros Adhanom Ghebreyesus, mkurugenzi mkuu wa shirika la afya...
This Is How Experts Think Coronavirus Will Change The World Over The Next 18 Months
Whether the coronavirus pandemic lasts for two months or two years, the way that we live and work will be altered irrevocably
We are in lockdown.
Supermarket shelves are stripped bare. Flights are grounded...
Mh. Mbowe (mb) nakiongozi wa upinzani bungeni (kub) wakati mh Rais anatangaza tahadhari ya ugonjwa wa corona, mh mbowe alitangaza kuwa ifikapo tar.4 apr 2020 chama chake kianze mikutano nchi nzima bila kujari zuio hilo.
Baada ya mda mfupi kiongozi mwandamizi wa chadema Dar es salaam akatoa...
Kwanza niwakumbushe ninyi CCM Iringa ndio mliogoma kumdhamini Dr Magufuli mwaka 2015 alipokuja kuomba udhamini ili agombee urais.
Pili, ni ninyi CCM Iringa mliogoma kumpa ushirikiano mchungaji Msigwa ilhali mnajua kabisa Iringa mjini na pale white house pana " ukaribu" sana.
Tatu, kila mtu...
Jeshi la polisi kanda maaluum ya Dar es salaam linawashikilia watu wawili kwa tuhuma za kusambaza taarifa za uongo kuhusu Ugonjwa unaoenezwa na virusi vya korona.
Watuhumiwa hao ni Boniphac Elias Mwita umri miaka 29 mkazi wa Tabata na Rosemary Elias Mwita mke wa mshtakiwa wa kwanza umri ni...
Two patients out of the 31 who have tested positive for the coronavirus in Kenya are in critical condition and admitted to the Intensive Care Unit (ICU), Health Cabinet Secretary Mutahi Kagwe has announced.
In a press briefing on Friday, the Health CS said the two patients are admitted at the...
Habari wakuu,
Katika hali ya kawaida,ni wazi kuna uhusiano wa kibiashara kati ya ndege zinazotoka nje na zile zinazofanya safari zake za humu nchini.
Kwa mfano,abiria wakitua hapa nchini kupitia JNIA wakitokea nje ya nchi,baaadhi yao watatumia ndege zinazofanya safari za humu nchini kuelekea...
South Africa na Rwanda ndiyo mataifa pekee katika ukanda wetu yaliyodhamiria kwa dhati kabisa kuondokana na Corona.
This being once for all.
Ndani ya mwezi mmoja wenzetu hawa wakiwa huru kabisa bila ya kuwa na Corona au angalau kuwa na trend za wazi kuwa hali zao wamezidhibiti vilivyo, itakuwa...
Prime Minister Boris Johnson has tested positive for coronavirus, Downing Street has said.
Kupitia ukurasa wake wa Twitter, Waziri huyo amethibitisha kuwa na maambukizi huku akiwa na dalili za kawaida za #Covid_19
Amesema yupo karantini na ataendelea kuwa kiongozi wa Serikali katika kupambana...
Justin Derbyshire, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Kimataifa la HelpAge Kenya
NCHI ambazo zinahifadhi wakimbizi wengi na zenye makazi duni Afrika, zinatajwa kuwa na hatari zaidi ya kuenea kwa virusi vya corona (COVID-19) katika siku za usoni.
Na kwamba, nchi hizo baadhi zina idadi kubwa ya...
Rais wa China amesema nchi yake na Marekani lazima ziungane kupambana na janga la Corona, huku mawaziri wa fedha wa Umoja wa Ulaya wakitakiwa kufikia mpango wa kuuokoa uchumi wao uliodhoofishwa kutokana na janga hilo.
Rais Xi Jinping wa China pia ameitolea wito Marekani kuimarisha uhusiano wa...
Ili kupambana na usambaaji wa Virusi vya Corona Serikali ya India ilizuia watu kutoka nje.
Kwenye video hii polisi wanaonekana kuchapa watu waliowakuta wakitembeatembea nje na kuwapa adhabu mbalimbali kwa kukosa utii
Source: abcworldnewstonight
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta ametangaza kuwa mtu wa kwanza amepona kabisa ugonjwa wa corona.
''Hii inamaanisha kuwa ugonjwa huu unaweza kukabiliwa''alisema rais Kenyatta katika hotiba yake kwa taifa.
Idadi ya walioambukizwa ugonjwa wa corona nchini Kenya imefikia 28.
Rais pia ametangaza hatua...
Nionavyo mimi,
Ugonjwa wa corona hauwezi kuisha anytime soon na hata baadhi ya nchi zilizochukua uamuzi wa lockdown watasitisha lockdown na bado maambukizi yataendelea. Mfano China wameondoa lockdown lakini maambukizi yanaendelea.
Sababu kuu ninavyoona ya ugonjwa huu kutokuisha duniani mapema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.