corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Roving Journalist

    Uwanja wa Ndege Dar: Mapokezi ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu - Julai 27, 2020

    Salaam Wakuu, MAKAMU Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tanzania Bara Tundu Lissu anatarajiwa kuwasili nchini leo saa saba na dakika ishirini saa za afrika Mashariki. Lissu amekaa nje ya nchi miaka mitatu sasa baada ya kuondoka kwa shambulio la risasi lililotokea mjini...
  2. Analogia Malenga

    Wabunge 15 wa Zambia wakutwa na virusi vya corona

    Waziri wa Afya wa Zambia Chitalu Chilufya amesema baada ya zoezi la lazima la upimaji wa virusi vya corona katika bunge la nchi hiyo, wabunge 15 wamekutwa na maambukizi. Amri ya upimaji huo ilitolewa baada ya wabunge wawili kufariki dunia juma lililopita. Mmoja miongoni mwa hao aliugua ugonjwa...
  3. B

    Corona: Shule Afrika Kusini zafungwa tena

    Moja kwa moja kwenye mada. Afrika Kusini wamezifunga tena shule zote kwa mwezi mmoja wanapoendelea kupambana na ugonjwa huu. Mapambano ni pamoja na tathmini ya wazi ya mirejesho pasipo na kujidanganya. Korea kusini, China nk, nako wanapita katika hali kama hizo hizo. Marekani ya Trump sasa...
  4. K

    Virusi vya Corona: Watu 572 wapoteza maisha Afrika Kusini kwa saa 24 zilizopita

    It goes without saying that the reason Africa will face the worst of Covid-19 last is because we are very poorly connected to the rest of the world. We do very little business with the rest of the world, which spared us the initial hit. Probably more people move from China to the US in a week...
  5. comrade wetu

    Shirika la Utangazaji la Voice of America lathibitisha Tanzania hakuna Corona na ni salama

    Shirika la Habari la Sauti ya America yaani VOA limethibitisha kwamba Tanzania ni salama na hakuna ugonjwa wa homa ya Virusi vya Homa ya Mapafu vinavyosababishwa na Virusi vya Corona ====== Can Tanzania Really Be Coronavirus-Free? DAR ES SALAAM, TANZANIA - Today I decided to do my own...
  6. Naton Jr

    Hali ya Corona Kenya ni mbaya mbaya mbaya mbaya

    Sijui hawa watu wamepatwa na nini? Wameweka lockdown Wameweka curfew Wameua waliokiuka Wamefunga mipaka Wamefunga anga Wamefunga shule Wamechukua mikopo Wafanya Pima Pima Pima Wamefunga miji Wana quarantines Wanavaa masks Walisema Tanzania tutakufa kama kumbikumbi Lakini bado kirusi...
  7. GENTAMYCINE

    Ni lini Serikali ya Tanzania kupitia Waziri Kabudi itaanza Kutusambazia Watanzania Dawa zinazoponya CORONA kutoka Madagascar?

    Madagascar imeanza kuhaha kutafuta misaada toka Mashirika na Taasisi za Afya za Kimataifa kukabiliana na kuenea kwa kasi kwa wagonjwa wa Corona katika wiki za hivi karibuni. ITV Tanzania Kuna Watu walikuwa ' wanamshutumu ' mno Rais wa Marekani Trump alipotudharau na kutudihaki Waafrika wakati...
  8. Analogia Malenga

    Virusi vya Corona: Museveni aruhusu Bodaboda na 'Taxi' kubeba abiria

    Rais wa Uganda Yoweri Museveni ameruhusu waendesha boda boda na texi kuwabeba abiria kwa masharti kwamba lazima wavae barakoa kuzingatia muongozi wa kuzua maambukizi ya corona. Rais pia alipunguza muda wa kafyu kwa saa mbili - sasa itaanza saa tatu usiku saa za Afrika Mashariki. Katika hutuba...
  9. Analogia Malenga

    UNICEF yasema watoto milioni 40 Duniani wameshindwa kusoma chekechea kutokana na Corona

    Mkanganyiko wa elimu uliosababishwa na janga la COVID-19 unawazuia watoto kuanza kupata elimu yao wanayostahili ilisema taarifa ya UNICEF Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia masuala ya Watoto-UNICEF lilisema Jumanne kwamba kufungwa kwa majengo ya elimu kutokana na janga la COVID-19...
  10. Rebeca 83

    Nini hasa kimeondoa Corona Tanzania?

    Hello JF, Ningependa kujua out of curiosity, nini kimeiondoa corona Tanzania? Je, Nyungu ilisaidia? Watu kuhimizwa kula tangawizi na malimao? Na watu wakachukulia serious kula tangawizi na malimao. Hivyo miili yao ikajijenga ku-fight virus? Ama watu walichukulia serious kuosha mikono na kuvaa...
  11. T

    Madagascar: Mfumo wa Huduma za Afya waelemewa na wagonjwa wa Corona, hospitali za Umma zimejaa

    Taarifa ni kuwa mfumo wa Huduma za Afya nchini Madagascar umeelemewa na wagonjwa, hospitali zote zimejaa wagonjwa, hali ni mbaya. Serikali imeomba msaada wa mashine zaidi ya 1,000 za kupumulia. Hospitali zinapokea wagonjwa mahututi pekee kwa sababu wagonjwa wakejaa. Organic Covid imegonga...
  12. A

    Wasioujua ukweli kuhusu Corona Tanzania

    Leo baada ya kuapisha viongozi mbalimbali Ikulu ya Chamwino Dodoma, Dr. Magufuli alitamka kuwa Corona imeshapotea na kuongeza kuwa "tuko salama". Kuna ukweli gani juu ya madai haya? Swali langu ni je tunajuaje tuko salama wakati hatujui hali halisi na serikali haijatoa takwimu rasmi za...
  13. Yoyo Zhou

    UN yaonya janga la Virusi vya Corona litazidisha hali mbaya ya chakula na lishe Duniani

    Hivi karibuni Umoja wa Mataifa UN umetoa ripoti ya mwaka 2020 ambayo inaonesha hali ya chakula na lishe sio ya kuridhisha hata kidogo. Ripoti hiyo ya hali ya usalama wa Chakula na Lishe iliyotolewa kwa pamoja na mashirika ya UN yakiwemo ya Chakula na Kilimo FAO na la Afya Duniani WHO, inaonesha...
  14. B

    Corona: Orodha ya wahanga, sampuli

    Katika ule mukthadha wa kukubali kutokubaliana, ikumbukwe kuwa iliombwa watu kuweka orodha ya wahanga wote wa hizi changamoto za kupumua, kila inapowezekana. Kuondoa tashwishi hapa ninaweka tarehe tulizopoteza wanasheria nguli hadi kufikia 09.07.2020 idadi yao mbele katika mabano (kama...
  15. Nyani Ngabu

    Hawa watu sasa wamekubali kuwa Corona imeisha?

    Toka mwanzo na mpaka sasa, msimamo wangu kuhusu hii Corona ni sawasawa na ule wa Rais Magufuli. Si ajabu pia, kuwa, msimamo wangu waweza kuwa ni mkali zaidi kushinda hata huo wa Rais Magufuli. Yaani, COVID-19 si hatari kama tulivyoaminishwa. Tumelishwa matango pori. Jana nilimwona Bernard...
  16. JOTO LA MOTO

    TANZIA Msanii maarufu wa vichekesho Kenya Jina Papa Shirandula aaga Dunia, corona yahusishwa

    Msanii maarufu wa Kenya kwa jina Papa Shirandula amefariki dunia jumamosi asubuhi leo baada ya kupatwa na matatizo ya upumuaji. TV actor and comedian Charles Bukeko popularly knows as "Papa Shirandula" has died in Nairobi. His brother-in-law Rowland Wanyama, told the Star that the actor...
  17. Cannabis

    Kenya: KEMSA yashutumiwa kufanya ununuzi wa vifaa kinga dhidi ya Corona kwa mara mbili ya bei halisi

    Kenya Medical Supply (KEMSA) ambayo inahusika na ununuzi wa dawa na vifaa tiba kwa vituo vyote vya Afya vilivyopo Kenya imeingia katika kashfa nyingine kutokana na ununuzi wa vifaa vya dharura dhidi ya ugonjwa wa COVID-19. Taarifa zinasema vifaa hivyo vilinunuliwa kwa gharama ya juu sana...
  18. Cannabis

    Pigo kwa Kenya katika vita dhidi ya Corona baada serikali kufunga vituo 20 vya kupima corona

    Vita dhidi ya maambukizi ya virusi vya Corona imepata pigo kubwa nchini Kenya baada ya serikali kufunga kimya kimya vituo 20 vilivyokuwa vikihusika na ukusanyaji wa sampuli kwa ajili ya vipimo vya maambukizi ya virusi vya corona. Serikali imeamua kuhamisha nguvu zaidi katika kutibu na kuhudumia...
  19. Miss Zomboko

    Cecafa yasitisha mashindano yote kwa mwaka 2020 kutokana na Corona

    Kagame Cup ambayo inashirikisha mabingwa kutoka wanachama 12 wa Cecafa, ni moja ya shindano kongwe barani Afrika ambalo kwa muda mrefu limekuwa likidhaminiwa na Rais wa Rwanda, Paul Kagame. Dar es Salaam. Baraza la Vyama Vya Mpira wa Miguu la Afrika Mashariki na Kati (Cecafa), limefuta...
  20. Suley2019

    Malawi yaanza siku tatu za maombi dhidi ya Corona

    Katika kuendelea kukabiliana na maambukizi ya Virusi vya Corona, Serikali ya Malawi imetangaza kuanza kwa siku tatu za kufunga na kumuomba Mungu awaepushe dhidi ya janga la virusi hivyo vinavyoendelea kuisumbua dunia. Katika taarifa ya serikali, Rais wa Malawi, Dkt. Lazarus Chakwera ametangaza...
Back
Top Bottom