corona

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. MK254

    Kumbe ndio maana Watanzania wamelialia sana, kwa hili la corona na mindege ya KQ Wakenya hatujawa "fair"

    Hii issue binafsi nilikua nimeielewa visivyo, muda wote nilijua kwamba Watanzania wanagoma tusiwe tunawapima wakija huku, na ili kushinikiza waingie watakavyo bila kupimwa wakazuia ndege zetu, ila kuna hizi taarifa nimezisoma kumbe tulikua tunawaweka karantini ya siku 14, akija anatiwa lockup...
  2. Dr Bill

    Nimemaliza kuongea na Rafiki yangu anayeishi Marekani, Ananiambia 'we are still working from home beacuse of Corona, America is becoming boring place'

    Tuache siasa tuache majungu Magufuli ni mwanasayansi asiekuwa muoga na anaejua nini anafanya. Sio kwamba ana miujiza ila alichoweza kuwaaminisha watanzania ni kwamba corona ni mafua ya kawaida sana kawaida ila haiwezi kushindana na uwezo wetu wa kukabiliana na hali tete au hali ngumu...
  3. Webabu

    Pesa za COVID-19 na ulafi wa Kiafrika

    Mataifa ya Ulaya na Magharibi kwa ujumla hawataziachia nchi walizowahi kuzitawala na wana vyambo vingi vya kuendelea kuwanasa. Kila janga linalotokea hutoa fedha nyingi kujaribu kuonesha kuguswa na huruma zao. Kwa hili huwa wanawanasa marais wa kiafrika kwa urahisi kabisa. Na jambo la...
  4. Sam Gidori

    Sudan Kusini kufungua shule kuanzia leo, mimba kwa wanafunzi zaongezeka

    Baada ya miezi 6 ya kukaa majumbani, wanafunzi nchini Sudan Kusini wanarejea darasani kuanzia Jumatatu, Waziri wa Habari wa nchi hiyo amesema. Hatua hiyo ya Sudan Kusini inafuatia uamuzi wa Baraza la Mawaziri kuondoa katazo lililowekwa mwezi Machi na Rais Salva Kiir la kufunga shughuli zote za...
  5. Webabu

    Coronavirus: Wanasayansi washangaa walioipuuza corona hawajaathirika sana

    Baada ya zaidi ya nusu mwaka ya mchaka mchaka wa virusi vya corona wanasayansi wamekuwa hawana jibu moja kuhusiana na ugonjwa huo na kila njia wanayoelekea inawapeleka upande tofauti na walikotaraji kufika,Mojawapo ni kwamba zile nchi zilizopuuza masharti ya kujikinga na corona na kuamua...
  6. FRANCIS DA DON

    Clip fupi: Sasa nimegundua umuhimu wa Corona virus China, nadhani wanapaswa kupigwa na korusi kingine ili akili ikae sawa

    Nisingependa kutia chumvi kwenye hili, labda hiyo video clip iongee yenyewe, nimeishiwa maneno.
  7. Tz boy 4tino

    Sayansi yashindwa kwanini Afrika haijaathirika na Corona, sawa na nchi nyengine

    Wataalamu wa magonjwa ya kuambikiza Duniani kwa umoja wao wakiri kutofahamu kwa nini nchi za Kiafrika hazijaathirika kwa kiwango sawa na nchi nyengine Duniani. Wataalamu hao wamesema , “ Hali ya ugonjwa wa Corona katika nchi za Afrika hata wao zinawashangaza”. Wengi wamekiri kuwa wakati ugonjwa...
  8. Analogia Malenga

    Namibia kutumia mbwa kugundua virusi vya corona

    Chuo Kukuu cha Namibia kitengo cha sayansi ya mifugo kinawafundisha mbwa kubaini virusi vya corona kwa kunusa. Mpango wa nchi hiyo ni kuwapelea mbwa hao katika viwanja vya ndege na vituo vya mpakani, kwa mujibu wa mtandao wa The Namibian. Mbwa wamethibitishwa kuwa na uwezo wa kubaini virusi...
  9. funaku

    GE2020 Lissu with a failed mission to distract General Election in Tanzania

    Blessed is thyloard our CREATOR Tanzania has so long be in a glorified fight against barbarism and planned colonialism. We have eversince survived the actions of non mercy bandits of humanity our fathers and grandies bitten and strangled to death with the same blood pretending to love us now...
  10. Nafaka

    Hivi kweli Marekani watu wameathiriwa na Corona au ni hype tu?

    Ukisikia mara Marekani watu wengi wamekufa kwa Corona. Lakini video na picha za hivi karibuni tunaona watu hawavai barakoa na wala hakuna cha social distance. Kwenye mikutano yao ya vyama wanakusanyika kama kawaida na wala hakuna cha measures. Huyu Corona haeleweki kama kweli sifa wanazompa...
  11. MK254

    Kenya ndio taifa la kwanza Duniani kutajwa kama salama kwa watalii kipindi hiki cha Corona

    Hii imetokana na jitihada za Kenya kutojichokea kwenye vita dhidi ya corona na imekua ikifuata miongozo na kanuni zote za kupambana na janga hili ambalo limeikumba dunia. Imetoa ushirikiano wote wa Kisayansi, Kijamii na hata Kiuchumi. ====== Kenya Becomes First Country Awarded Safer Tourism...
  12. beth

    Marekani yaidhinisha matumizi ya dharura ya maji ya damu (Plasma) kutibu Virusi vya Corona

    Mamlaka ya Chakula na Dawa nchini Marekani (FDA) imetoa idhini ya dharura ya matumizi ya maji maji ya damu kuwatibu wagonjwa wa corona. Mfumo huo wa tiba unatumia maji hayo kutoka kwa watu waliopona ugonjwa huo, na tayari umewatibu watu zaidi ya 70,000 nchini Marekani. Raid Donald Trump...
  13. Analogia Malenga

    WHO: Huenda janga la Corona likaisha ndani ya miaka miwili

    Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema kuwa anamatumaini janga la corona litakomeshwa ndani ya miaka miwili Akizungumza mjini Geneva, Tedros Adhanom Ghebreyesus alisema homa ya Spanish flu ya mwaka 1918 ilichukua miaka miwili kudhibitiwa. Lakini ameongeza kuwa kuimarika kwa teknolojia ya...
  14. Webabu

    Cheti cha corona ni pesa tu kila kona

    Inasikitisha sana katika kipindi hiki kigumu cha uchumi duniani kila mmoja amepanga kumminya mwenzake bila uhakika wala faida ya kinachofanyika. Mwanzoni niliona tangazo la wizara ya afya lililohimiza wasafiri kuhakikisha kuwa wanapata cheti cha usafi wa corona kabla kuondoka nchini na...
  15. jmushi1

    Miujiza ya Mungu kwa Tundu Lissu, COVID-19 na Siasa za Tanzania yetu

    Wanajamvi, Kwanza kabisa, niseme kama COVID-19 ingekuwa mbaya Tanzania, Lissu asingepata huu umati wa ajabu wenye Watanzania wenye hamasa ambayo sidhani kama nimeshawahi kuiona kwenye siasa za Tanzania. Hili ni la kumshukuru Mungu! Amejibu maombi kwa namna ya ajabu kabisa! Amejibu maombi kwa...
  16. Analogia Malenga

    Wafungiwa kazini kwa kuhofia Corona

    Wajenzi hawajaruhusiwa kuziona familia zao tangu mwezi MachiImage caption: Wajenzi hawajaruhusiwa kuziona familia zao tangu mwezi Machi Kampuni ya Kichina inayotengeneza kiwandacha saruji katika mji mkuu wa Msumbiji, Maputo imewafungia wafanyakazi wapatao 60, raia wa nchi hiyo katika eneo la...
  17. K

    Russian Corona Vaccine is registered but not approved

    The Russian corona vaccine was not approved, but only registered, claims the broadcaster “RT Deutsch”. German media reported incorrectly here. The reality is different The outcry in the German mainstream was great, according to the Russian state broadcaster “RT Deutsch”. The ARD wrote...
  18. Analogia Malenga

    Wanafunzi 20 wapata ujauzito likizo ya Corona

    Wanafunzi wa kike zaidi ya 20 wa shule za msingi na sekondari wilayani Longido mkoani Arusha, wamepewa ujauzito na wengine kuolewa wakati wa kipindi cha likizo kutokana na ugonjwa wa corona, baada ya shule kufungwa Kutokana na hali hiyo, Serikali imesema itawachukua hatua za kisheria baadhi ya...
  19. Mkikuyu- Akili timamu

    Kenya: How Corona Billions were "eaten" by corrupt cartels

    Wakuu, Mara nyingi tu nimesema humu kwamba nchi ikitaka kupigana na corona, kwanza ipigane na ufisadi. Wengi wanashangaa kwanini Tanzania corona ni historia, kumbe wao hawafahamu kwamba ufisadi pia ni historia. Lakushangaza ni kwamba, Zile barokoa zilizo peanwa bure na "Jack Ma" kwa wakenya...
  20. Replica

    Sababu ya idadi ndogo ya vifo vya COVID-19 Afrika yaelezwa, Tanzania yatajwa

    Idadi ya vifo vinavyotokana na COVID-19 Afrika imeendelea kuwa chini huku idadi kubwa ya waathirika wamerudi kwenye hali ya kawaida pamoja na maangalizo mengi ya awali kutoka kwa wanataaluma wabobezi kwamba virusi hivyo vingeubomoa mfumo dhaifu wa afya barani Afrika na kuua watu kwa mamilioni...
Back
Top Bottom