Habari JF,
Naomba tufahamishane kulingana na mwongozo wa Wizara ya Elimu, hakuna mzazi atakayelipishwa ada kipindi chote cha Corona ambacho watoto wamekuwa nyumbani, unless unadaiwa huko nyuma.
Ni vipi basi kuna shule zimelipisha wazazi kwa kupunguza mwezi mmoja tu tena kwenye usafiri na sio...
Taarifa ya pamoja iliyotolewa na tovuti ya kidiplomaisa ya Ureno imesema, mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi 11 za Ulaya wamekubali masharti ya kufungua tena mipaka na kurejesha uhuru wa mawasiliano kati ya wakazi wa Ulaya.
Kwa mujibu wa taarifa hiyo, wawakilishi kutoka Ujerumani, Austria...
Kwa mujibu wa Euronews orodha ya awali inaonesha raia wa nchi za Mozambique, Angola, Namibia, Ethiopia, Zambia, Rwanda, Uganda, Misri, Tunisia, Algeria na Morocco wataruhusiwa kuingia nchi za Umoja wa Ulaya (EU)
Inaelezwa huku Ulaya ikiwa inajiandaa kufungua mipaka, Maafisa wa nchi hizo...
Kwa mara nyingine tena Rwanda imetangaza rekodi kubwa ya watu walioambukizwa virusi vya Corona, baada ya watu 101 wakiwemo wafungwa 72 wa gereza la Ngoma Mashariki mwa Rwanda, kuthibitishwa kuambukizwa virusi vinavyosababisha ugonjwa wa Covid 19 ndani ya saa 24 zilizopita, hii ndiyo rekodi kubwa...
Wizara ya Afya imethibitisha visa vipya 19 vya CoronaVirus baada ya kupima sampuli 2,170 na maambukizi ya nchi hiyo yamefikia 889.
Katika visa vilivyotangazwa leo, 11 walisafiri kutoka Afghanistan na walikuwa karantini wakati wanafanyiwa vipimo. 7 ni watu waliokuwa karibu na wagonjwa wa...
Kenya imetangaza wagonjwa wapya 120 baada ya kupima sampuli 2,221 ndani ya saa 24 zilizopita na jumla ya walio na maambukizi ya COVID19 imefikia 6,190
Kati ya wagonjwa waliotangazwa leo, 115 ni Wakenya na 5 ni wageni; 84 ni Wanaume na 36 ni Wanawake. Mgonjwa mdogo zaidi na miaka 6 huku mkubwa...
Kwa Kenya kutokuwemo kwenye hii orodha inaeleweka maana hali sio nzuri, hatufichi maradhi na tumekubali tunacho kirusi na tunapambana, hivyo kwa sasa inaleta mantiki kwa sisi kuzuiwa kuingia popote, ila kwa wenzetu Tanzania wao wameng'ang'ania kwamba ndio taifa pekee dunia lisilo na tatizo la...
Wakenya humu huwa na tabia za kusingizia mataifa mengine eti wanawaletea Corona kumbe Nairobi wadau wanaendelea kunyanduana huku wakupumuliana na kumwagiliana Ute ulio jaa Corona.
Lakushangaza ni kwamba hawa makahaba hautasikia serikali inawapima corona, Madereva wa kutoka nchi jirani eti ndio...
Ni dhahiri kabisa mzee huyu hatamweza Trump, yupo serikalini kwa zaidi ya miaka 50 lakini hana idea kabisa na current events, sio mara ya kwanza na ni wazi kabisa ana ugonjwa wa kumbukumbu ikiambatana na kuwa na hasira za karibu.
hata hivyo vyombo vinavyoongoza kwa kumtungia trump habari mbaya...
Takwimu rasmi zilizotolewa hivi karibuni zinaonesha kuwa watu milioni 90.41 nchini China wamefanyiwa vipimo vya nucleic acid vya virusi vya Corona, jambo ambalo limefuatiliwa na jamii ya kimataifa.
Je, China inafanya vipi vipimo hivyo? Kwa mfano wa mji mkuu Beijing, tunaangalia kwa undani...
PROFESA NYAGORI ASHAURI TAASISI ZA AFYA KUMPA TUZO JPM MAPAMBANO YA CORONA
NA MWANDISHI WETU-MOROGORO
Daktari Mshauri Mwandamizi wa Magonjwa ya Ndani na Moyo, Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), ambaye pia ni Mhadhiri wa vyuo vikuu mbali mbali vya tiba, Profesa Harun Nyagori, ameshauri...
Hatimae ripoti iliyotoka baada ya uchunguzi wa visanduku vya kunasa sauti ya ndege ya Pakistan airways (PIA) aina ya Airbus A320 iliyoanguka mnamo tarehe 22 Mei mwaka huu 2020 na iliyokuwa imebeba watu 97, kumbe walikuwa wakijadili habari za corona safari nzima.
Majadiliano hayo mwishowe...
Nimekuwa nikifatilia kasi ya maambukizi kwa nchi zilizo kwenye lockdown, nimestaajabu sana kuona maambukizi yanaongezeka badala ya kupungua. Kiukweli tulitarajia kuona maambukizi yameisha au kupungua sana, hebu jiulize nawe nchi iko kwenye lockdown zaidi ya miezi mitatu badala ya maambukizi...
Bingwa wa magonjwa ya kuambukiza, Profesa Matteo Bassetti amesema Ukali wa #CoronaVirus umepungua hivyo inaweza kuisha bila kuwa na chanjo
Mtaalamu huyo wa kiitaliano amesema, #COVID19 imetoka kuwa chui mkali hadi kuwa paka mwitu. Kwa sasa ndani ya Italia hata wazee hupumua bila vifaa
Mtaalamu...
Afrika kusini imeanzisha majaribio ya kwanza ya chanjo ya virusi vya corona barani Afrika wiki hii, chuo kikuu kinachoongoza hatua hiyo kimesema leo, wakati nchi hiyo ikikabiliana na idadi ya juu ya kesi za maambukizi barani Afrika. Chanjo, iliyotengenezwa na taasisi ya Oxford Jenner, tayari...
Wizara ya Afya nchini humo imesema kuna ongezeko la Wagonjwa 23 baada ya sampuli 2,219 kupimwa jana na kufanya jumla ya Wagonjwa kufikia 797. Wagonjwa wapya wote ni Waganda
Katika ya Wagonjwa wapya, watano ni miongoni mwa sampuli 1,308 zilizopimwa katika maeneo ya mpakani na 18 ni miongoni mwa...
Baada ya kesi mpya za Corona kuripotiwa tena mjini Beijing, Tianjin, mji uliopo umbali wa kilomita 100 nje ya Beijing pia ilishuhudia kesi moja mpya. Cha kushangaza ni kuwa majibu ya vipimo vya nucleic acid kwa watu na vitu vyote alivyovigusa mgonjwa huyu vilikuwa ni hasi. Je, aliambukizwa vipi...
Saudi Arabia imepiga maarufuku raia kutoka mataifa mengine kufanya ibada ya Hija nchini humo mwaka huu ili kudhibiti virusi vya corona.
Ni idadi ndogo tu ya watu wanaoishi kwa sasa katika ufalme huo watakaoweza kushiriki Hija, kulingana na tangazo lililotolewa kwenye vyombo vya habari vya taifa...
Mpaka Sasa Kenya yenye watu 53,731,953 imeshapima Corona kwa watu 142,366 kwa miezi 3 iliyopita. Kwa hiyo Ina uwezo wa kupima watu 47,455 kwa mwezi.
Kwa hiyo itahitaji miezi 1,132 kuweza kuwapima wakenya wote ambayo ni sawa na miaka 94! Kwa hiyo mabeberu Wana uhakika wa kuendelea kuwanyonya...
Serikali ya Kenya imetangaza visa vipya 59 vya maambukizi ya virusi vya corona. Hayo yalisemwa na Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya nchini Kenya Dr. Mercy Mwangangi ambapo alifananua kuwa idadi hiyo imepatikana baada ya kupima sampuli 2354 na kupungua kwa idadi ya visa vipya haimaanishi kuwa ugonjwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.