Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 14,840
- 31,583
Hello JF,
Ningependa kujua out of curiosity, nini kimeiondoa corona Tanzania? Je, Nyungu ilisaidia? Watu kuhimizwa kula tangawizi na malimao?
Na watu wakachukulia serious kula tangawizi na malimao. Hivyo miili yao ikajijenga ku-fight virus? Ama watu walichukulia serious kuosha mikono na kuvaa barakoa hivyo rate ya maambukizi ikapungua? Nini hasa kilichoiondoa Corona Tanzania?
Its good to know, ili janga liingine likija, we use the same strategies.
Ningependa kujua out of curiosity, nini kimeiondoa corona Tanzania? Je, Nyungu ilisaidia? Watu kuhimizwa kula tangawizi na malimao?
Na watu wakachukulia serious kula tangawizi na malimao. Hivyo miili yao ikajijenga ku-fight virus? Ama watu walichukulia serious kuosha mikono na kuvaa barakoa hivyo rate ya maambukizi ikapungua? Nini hasa kilichoiondoa Corona Tanzania?
Its good to know, ili janga liingine likija, we use the same strategies.