Coronavirus: Wanasayansi washangaa walioipuuza corona hawajaathirika sana

Alwaz

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,099
10,794
Baada ya zaidi ya nusu mwaka ya mchaka mchaka wa virusi vya corona wanasayansi wamekuwa hawana jibu moja kuhusiana na ugonjwa huo na kila njia wanayoelekea inawapeleka upande tofauti na walikotaraji kufika,Mojawapo ni kwamba zile nchi zilizopuuza masharti ya kujikinga na corona na kuamua kumuelekea Mungu ndizo ambazo maambukizi yamekuwa chini sana na vifo ni vichache sana au havitokani na corona kama ilivyo kwenye nchi nyengine.

Mfano mmojawapo ni nchi zote za Mashariki ya mbali hasa Pakistan,kwani wananchi wa nchi hiyo wakati duniani ilipokazia kufungia watu wao ndani kuzuia maambukizi na kipindi ambapo Marekani,Spain,Italy na Uk zikitoa taarifa ya vifo zaidi ya elfu kwa siku wao walikuwa wakipambana na askari waliowazuia kuingia misikitini.

Hatimae serikali ya Imran Khan iliwaachia wananchi wake kiaina.Sasa ndio wanasayansi wamepata kizunguzungu kutaka kujua nini sababu ya tofauti hizo kati ya huko na kule.

Scientists mull mystery of Pakistan's falling Covid-19 death rates
 
Corona si hatari kama tulivyoambiwa hapo awali.

Hata idadi ya waliokufa ina walakini.

Na kama mtu umegundua, hivi sasa ni kama vile watu ‘wameacha’ kufa kwa magonjwa mengine.

Badala yake wanakufa kwa Corona.

Peep [the] game, folks.
 
Sasa ni mashindano ya kutangaza chanjo.Mataifa mengi yanakwenda mbio kutangaza chanjo zao za covid 19.Hapo baadae inaweza ikawa ni lazima kila mtu achanjwe kabla ya safari na pengine mpaka kila mwanafunzi apatiwe chanjo hiyo.
Viongozi wetu itabidi tuwahimize wazinduke iwapo covid yenyewe tumeweza kuhimili iweje tuje tukubali chanjo.
 
Baada ya zaidi ya nusu mwaka ya mchaka mchaka wa virusi vya corona wanasayansi wamekuwa hawana jibu moja kuhusiana na ugonjwa huo na kila njia wanayoelekea inawapeleka upande tofauti na walikotaraji kufika,Mojawapo ni kwamba zile nchi zilizopuuza masharti ya kujikinga na corona na kuamua kumuelekea Mungu ndizo ambazo maambukizi yamekuwa chini sana na vifo ni vichache sana au havitokani na corona kama ilivyo kwenye nchi nyengine.

Mfano mmojawapo ni nchi zote za Mashariki ya mbali hasa Pakistan,kwani wananchi wa nchi hiyo wakati duniani ilipokazia kufungia watu wao ndani kuzuia maambukizi na kipindi ambapo Marekani,Spain,Italy na Uk zikitoa taarifa ya vifo zaidi ya elfu kwa siku wao walikuwa wakipambana na askari waliowazuia kuingia misikitini.

Hatimae serikali ya Imran Khan iliwaachia wananchi wake kiaina.Sasa ndio wanasayansi wamepata kizunguzungu kutaka kujua nini sababu ya tofauti hizo kati ya huko na kule.

Scientists mull mystery of Pakistan's falling Covid-19 death rates
Tuambie na Brazil ilikuwaje
 
Sasa ni mashindano ya kutangaza chanjo.Mataifa mengi yanakwenda mbio kutangaza chanjo zao za covid 19.Hapo baadae inaweza ikawa ni lazima kila mtu achanjwe kabla ya safari na pengine mpaka kila mwanafunzi apatiwe chanjo hiyo.
Viongozi wetu itabidi tuwahimize wazinduke iwapo covid yenyewe tumeweza kuhimili iweje tuje tukubali chanjo.
Ni vema na sisi tutangaze chanjo yetu
 
Watu wana matatizo kibao alafu waogope Corona,wakati matatizo ya vita yana tisha zaidi ya Corona.
Watu wengi wana stress za maisha ,wengi asubuhi akitoka ndo anaenda kujitafutia chakula cha mchana cha kwkwe au familia halafu aogope Corona ?
 
Baada ya zaidi ya nusu mwaka ya mchaka mchaka wa virusi vya corona wanasayansi wamekuwa hawana jibu moja kuhusiana na ugonjwa huo na kila njia wanayoelekea inawapeleka upande tofauti na walikotaraji kufika,Mojawapo ni kwamba zile nchi zilizopuuza masharti ya kujikinga na corona na kuamua kumuelekea Mungu ndizo ambazo maambukizi yamekuwa chini sana na vifo ni vichache sana au havitokani na corona kama ilivyo kwenye nchi nyengine.

Mfano mmojawapo ni nchi zote za Mashariki ya mbali hasa Pakistan,kwani wananchi wa nchi hiyo wakati duniani ilipokazia kufungia watu wao ndani kuzuia maambukizi na kipindi ambapo Marekani,Spain,Italy na Uk zikitoa taarifa ya vifo zaidi ya elfu kwa siku wao walikuwa wakipambana na askari waliowazuia kuingia misikitini.

Hatimae serikali ya Imran Khan iliwaachia wananchi wake kiaina.Sasa ndio wanasayansi wamepata kizunguzungu kutaka kujua nini sababu ya tofauti hizo kati ya huko na kule.

Scientists mull mystery of Pakistan's falling Covid-19 death rates
Huko ulaya wanatoa taarifa za uongo watu wanakufa na magonjwa mengine wanawahesabu kua ni corona.
 
Sasa ni mashindano ya kutangaza chanjo.Mataifa mengi yanakwenda mbio kutangaza chanjo zao za covid 19.Hapo baadae inaweza ikawa ni lazima kila mtu achanjwe kabla ya safari na pengine mpaka kila mwanafunzi apatiwe chanjo hiyo.
Viongozi wetu itabidi tuwahimize wazinduke iwapo covid yenyewe tumeweza kuhimili iweje tuje tukubali chanjo.
Yangu macho tu
Screenshot_20210120-135500.jpg
 
Back
Top Bottom