GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,922
Watanzania najua baadhi yetu tunaweza ama tukawa hatujui 'Thamani' ya Rais Dkt. Magufuli au 'Umuhimu' wake Kwetu ila itoshe tu kusema kwamba pamoja na kwamba 'Kibinadamu' anaweza akawa na 'Mapungufu' yake kama niliyonayo Mimi GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ila kwa Tanzania 'Kumpata' Kiongozi kama Yeye (JPM) ni kama vile Mwenyezi Mungu 'ametupendelea' sana tu.
Leo asubuhi kupitia Kipindi cha BBC News (Africa) kinachoruka Kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili (Redioni) nilibahatika kuwasikia Viongozi mbalimbali wa 'Kidini' na Wananchi kadhaa (waliowawakilisha) Wenzao (Waganda) katika 'Mjadala' mkubwa uliokuwa 'Mezani' wa Janga la CORONA na namna nzima ya 'Kukabiliana' nalo.
Mazunguzo ya 'Kimjadala' yalikuwa ni mengi na yenye 'Tija' na 'Mantiki' ila katika kila 'Mzungumzaji' aliyekuwa akichangia wote walikuwa 'wakimpongeza' sana Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli kwa 'Kupambana' Kwake juu ya Janga la CORONA huku 'wakimshutumu' wazi wazi Rais wao Mzee Museveni kuwa 'ameshindwa' na kwamba kazidiwa mbali na Rais Magufuli.
Mwishoni kabisa Wote 'walisikika' wakisema kuwa laiti kungekuwa kuna uwezekano wa 'Kukopana' Marais hata kwa muda fulani tu basi kwa 'Taabu' ambazo wanazipitia sasa 'Waganda' na Maisha magumu 'waliyonayo' tokea Janga hili la CORONA lianze huku 'wakizuiwa' Kufanya Shughuli zao mbalimbali za 'Kiuchumi' basi wangetuomba Watanzania 'tuwakopeshe' Rais wetu huyu Dkt. Magufuli.
Kwa 'Kuhitimisha' Kwao tu Viongozi hao wa 'Dini' na Wananchi wa Uganda 'wamemtaka' Rais wao Mzee Museveni 'ayaige' mengi ya Rais Wetu JPM.
Nami GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ninamalizia pia kwa kusema hebu Watanzania 'tujivunie' mno Rais Magufuli na 'tumsaidie' pale anapokosea.
Leo asubuhi kupitia Kipindi cha BBC News (Africa) kinachoruka Kuanzia Saa 1 na Nusu hadi Saa 2 Kamili (Redioni) nilibahatika kuwasikia Viongozi mbalimbali wa 'Kidini' na Wananchi kadhaa (waliowawakilisha) Wenzao (Waganda) katika 'Mjadala' mkubwa uliokuwa 'Mezani' wa Janga la CORONA na namna nzima ya 'Kukabiliana' nalo.
Mazunguzo ya 'Kimjadala' yalikuwa ni mengi na yenye 'Tija' na 'Mantiki' ila katika kila 'Mzungumzaji' aliyekuwa akichangia wote walikuwa 'wakimpongeza' sana Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli kwa 'Kupambana' Kwake juu ya Janga la CORONA huku 'wakimshutumu' wazi wazi Rais wao Mzee Museveni kuwa 'ameshindwa' na kwamba kazidiwa mbali na Rais Magufuli.
Mwishoni kabisa Wote 'walisikika' wakisema kuwa laiti kungekuwa kuna uwezekano wa 'Kukopana' Marais hata kwa muda fulani tu basi kwa 'Taabu' ambazo wanazipitia sasa 'Waganda' na Maisha magumu 'waliyonayo' tokea Janga hili la CORONA lianze huku 'wakizuiwa' Kufanya Shughuli zao mbalimbali za 'Kiuchumi' basi wangetuomba Watanzania 'tuwakopeshe' Rais wetu huyu Dkt. Magufuli.
Kwa 'Kuhitimisha' Kwao tu Viongozi hao wa 'Dini' na Wananchi wa Uganda 'wamemtaka' Rais wao Mzee Museveni 'ayaige' mengi ya Rais Wetu JPM.
Nami GENTAMYCINE ANTIBIOUTIQUE ninamalizia pia kwa kusema hebu Watanzania 'tujivunie' mno Rais Magufuli na 'tumsaidie' pale anapokosea.