Alwaz
JF-Expert Member
- Apr 29, 2010
- 7,082
- 10,742
Mataifa ya Ulaya na Magharibi kwa ujumla hawataziachia nchi walizowahi kuzitawala na wana vyambo vingi vya kuendelea kuwanasa. Kila janga linalotokea hutoa fedha nyingi kujaribu kuonesha kuguswa na huruma zao.
Kwa hili huwa wanawanasa marais wa kiafrika kwa urahisi kabisa. Na jambo la kushangaza ni jinsi nchi hizo za wakoloni pamoja na kutokuwa na rasilimali nyingi lakini daima hawakaukiwi na mabilioni ya fehda kwa ajili ya ufadhili kwenye nchi za Kiafrika.
Mfano kwenye hili janga la Corona marais wa kiafrika wamedhihirisha kuwa si watu wa maana wa kuongoza watu wao.Wapo ambao wamehiari kuua uchumi wao kwa kuwazuia wananchi kufanya kazi ilimradi tu watangaze ongezeko la wanaokufa au kuumbukizwa na corona na wao wapokee misaada inayoitwa ya kupambana na corona.
Baada ya hapo hizo pesa kwa uroho hugawana wao kwa wao na wala haziendi kule zilikokusudiwa. Wakoloni nao wakishajua hivyo huendelea kuzidharau na kuzidhoofisha hizo nchi kwa kuziwekea vikwazo zaidi.
Kwa hili huwa wanawanasa marais wa kiafrika kwa urahisi kabisa. Na jambo la kushangaza ni jinsi nchi hizo za wakoloni pamoja na kutokuwa na rasilimali nyingi lakini daima hawakaukiwi na mabilioni ya fehda kwa ajili ya ufadhili kwenye nchi za Kiafrika.
Mfano kwenye hili janga la Corona marais wa kiafrika wamedhihirisha kuwa si watu wa maana wa kuongoza watu wao.Wapo ambao wamehiari kuua uchumi wao kwa kuwazuia wananchi kufanya kazi ilimradi tu watangaze ongezeko la wanaokufa au kuumbukizwa na corona na wao wapokee misaada inayoitwa ya kupambana na corona.
Baada ya hapo hizo pesa kwa uroho hugawana wao kwa wao na wala haziendi kule zilikokusudiwa. Wakoloni nao wakishajua hivyo huendelea kuzidharau na kuzidhoofisha hizo nchi kwa kuziwekea vikwazo zaidi.