Hivi kweli Marekani watu wameathiriwa na Corona au ni hype tu?

Nafaka

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
12,156
31,045
Ukisikia mara Marekani watu wengi wamekufa kwa Corona. Lakini video na picha za hivi karibuni tunaona watu hawavai barakoa na wala hakuna cha social distance. Kwenye mikutano yao ya vyama wanakusanyika kama kawaida na wala hakuna cha measures.

Huyu Corona haeleweki kama kweli sifa wanazompa anazo. Hata ile video ya wale askari wakimshoot mweusi hakuna ambaye alikuwa kavaa barakoa wala nini.

Nabaki najiuliza huyu Corona allikuwa ana agenda ikafail au ni vipi.

1.jpg
2.jpg
2.jpg
 
Ni kweli watu wanakufa sana kwa corona US.
Ila, maambukizi yanaanza kupngua mno, na vifo pia asilimia yake inashuka kutokana na madaktari kuanza kujua jinsi ya kutibu symptoms zake.
 
Ni kweli watu wanakufa sana kwa corona US.
Ila, maambukizi yanaanza kupngua mno, na vifo pia asilimia yake inashuka kutokana na madaktari kuanza kujua jinsi ya kutibu symptoms zake.
Na hiyo mikusanyiko unaizungumziaje?
 
Wana uhuru wa kufanya hivyo.
Hivi unaelewa nachojaribu kusema, unakumbuka wakati wa maandamano ya Black lives matters, hata polisi wenyewe hawakuwa wamevaa barakoa. Ukitaka kujua huu ugonjjwa walikuwa wanaupa hype, ingekuwa Ebola hakuna ambaye angethubutu kufanya maandamano wala kukusanyika hivyo.
 
Hivi unaelewa nachojaribu kusema, unakumbuka wakati wa maandamano ya Black life matters, hata polisi wenyewe hawakuwa wamevaa barakoa. Ukitaka kujua huu ugonjjwa walikuwa wanaupa hype, ingekuwa Ebola hakuna ambaye angethubutu kufanya maandamano wala kukusanyika hivyo.
Endelea kuamini unachoamini.
 
Ukisikia mara Marekani watu wengi wamekufa kwa Corona. Lakini video na picha za hivi karibuni tunaona watu hawavai barakoa na wala hakuna cha social distance. Kwenye mikutano yao ya vyama wanakusanyika kama kawaida na wala hakuna cha measures.

Huyu Corona haeleweki kama kweli sifa wanazompa anazo. Hata ile video ya wale askari wakimshoot mweusi hakuna ambaye alikuwa kavaa barakoa wala nini.

Nabaki najiuliza huyu Corona allikuwa ana agenda ikafail au ni vipi.

Ndiyooooo
 
Corona ni scam tu .. Hakuna nchi yoyote ambayo watu wana kufa kwa huo ugonjwa hewa .. Kinacho tokea ni watu wana kufa kwa magonjwa mengine wanazushiwa kuwa wamekufa kwa corona kisha mamlaka za afya zinatoa takwimu fake ..


Huo ugonjwa ni scam kwaajili ya Vita ya kiuchumi duniani
 
Corona ni scam tu .. Hakuna nchi yoyote ambayo watu wana kufa kwa huo ugonjwa hewa .. Kinacho tokea ni watu wana kufa kwa magonjwa mengine wanazushiwa kuwa wamekufa kwa corona kisha mamlaka za afya zinatoa takwimu fake ..


Huo ugonjwa ni scam kwaajili ya Vita ya kiuchumi duniani
Kuna ile kauli ilikuwa inanifikirisha sana kila pale Ummy mwalimu alipokuwa anatangaza kifo cha corona,basi utasikia anasema "marehemu alikuwa na maradhi mengine".
 
Back
Top Bottom