changamoto

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Abdalah Abdulrahman

    JamiiForums Tanzania Mawazo mchanganyiko juu ya namna ya kukabili changamoto ya ajira kwa vijana

    Nchi nyingi duniani zinakabiliwa na janga la ukosefu wa ajira kwa vijana, mfano nchi ya Nigeria ambayo nusu ya watu wake ni vijana wenye umri kati ya miaka 15-35 inakabiliwa na ukosefu wa ajira ya zaidi ya vijana 11.1 milioni. Halikadhalika nchi za Afrika ya Kusini, Kenya, Uganda na zingine...
  2. J

    JamiiForums Tanzania Mimba za utotoni sio changamoto pekee kwa Watoto wa kike

    Mbali na suala la mimba za utotoni imebainika pia kwamba changamoto nyingine wanazokumbana nazo watoto wa kike ni pamoja na ukosefu wa taulo pindi wanapokuwa katika siku zao. Baadhi ya Familia, Koo na Makabila kuendeleza mila ya kutoa kipaumbele kwa Mtoto wa kiume kwenye fursa za maendeleo...
  3. Chizi Maarifa

    JamiiForums Tanzania Ndugu zanguni, ukipewa lift usitoe tena changamoto kwa aliyekupa mpaka akajuta

    Jana nimetoka zangu mkoa kurudi Jijini nikiwa na jamaa yangu katika mizunguko ya maisha. Kufika Chalinze tukakuta watu kadhaa wakisubiri usafiri wa kuja Dar. Nlimwona dada mmoja mzuri amependeza na amekaa kwa unyonge sana, zaidi alikuwa na kabag tu kadogo. Akasimamisha gari, nikasimama mbele...
  4. CORAL

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya mikopo ya HELSB

    Ndugu walimu wenzangu na wanufaika wote waliosomeshwa kwa fedha ya serikali yaani BODI YA MIKOPO YA ELIMU YA JUU (HESLB). Juzi Jumatatu tarehe 28.12.2020 niliomba LOAN STATEMENT ya deni langu kutoka Bodi ya mikopo ili niweze kuclear deni baki ambalo kwa mujibu wa SALARY SLIP yangu ya 31.12.2020...
  5. ommytk

    JamiiForums Tanzania Barabara za Tandika ni changamoto, mashimo makubwa mno

    Kuna hii changamoto ya barabara za Tandika aisee ni mtihani mkubwa Serikali za mitaa usiku wajaribu kuangalia namna ya kufukia mashimo makubwa sana ambapo kuna zingine gari ndogo upiti Mimi Jana nimepasua sampo oil yote imemwagika wananchi hata kuweka kifusi wakati mamlaka zinajipanga kukarabati
  6. C

    JamiiForums Tanzania Changamoto ya Sisimizi wekundu Ndani ya Nyumba

    Imekua kero sasa, maana hawa wadudu wanasumbua sana. Je, nitumie dawa gani, kuondoa uwepo wao au kuwaangamiza.
  7. Sarikiaeli

    JamiiForums Tanzania Maswali na majibu ya wadau wa sekretarieti ya ajira katika Utumishi wa Umma

    Updates ! Pia nitatumia uzi huu hapa, kuweka matangazo ya ajira kutoka Sekretarieti ya ajira(Utumishi) katika Ofisi ya Rais. 🙏 Pata majibu ya baadhi ya maswali ambayo yamekuwa yakiulizwa na wadau wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kupitia njia mbalimbali za mawasiliano wakitaka...
  8. Gustavo Gaviria

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ulipata changamoto gani katika kumtambulisha mwenza katika familia yako?

    Wakuu tupo pamoja. Mimi hapa nina mwanamke mmoja bwana ana mtoto mmoja ila sio wangu nataka kumuoa, nimeridhia kabisa na nimempenda mwanamke licha ya kuwa na mtoto, ila kipengele kinakuja kwenye familia sidhani kama watanielewa! na hata kama watanielewa sidhani kama watatoa ushirikiano...
  9. mcrounmj

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Madini ya Dhahabu: Fahamu Uwekezaji Wake, Changamoto na Faida

    Wadau poleni na swaumu mulio katika mfungo wa mwezi wa Ramadhani. Napenda kujulishwa kwa mwenye uzoefu biashara ya dhahabu inalipa vipi kwa mtaji wa million 5, tahadhali za kuchukua dhidi ya utapeli, vibali vya biashara na maeneo ambayo yako suitable kwa hiyo biashara. Natanguliza shukrani...
  10. MERCENARY2015

    JamiiForums Tanzania Wazoefu wa biashara ya boda boda na bajaji, njoo mtujuze changamoto mnazokumbana nazo

    Salamu wana Jukwaa.... Nimepata wazo la kuanzisha biashara ya Boda boda na Bajaji kuanzia mwezii wa 11 jijini Dar es salaam, naanza biashara hii baada ya kujibana kwa kipindi cha miaka 3 sasa. Nimewekeza kiasi cha Milioni 10, nitaanza kwa Bajaji 1 na Boda boda 1. Nipata wazo hili huku...
  11. juctn Mt

    JamiiForums Tanzania Mradi wa reli ya kisasa (SGR), mwamba wa changamoto za usafirishaji nchini

    MAY 27, 2019 HABARI, Na Paschal Dotto-MAELEZO Ni Takribani Miaka 120 ambapo historia iliandikwa, mwaka 1912, Serikali ya Kikoloni nchini iliamua kuimarisha sekta ya usafirishaji Kwa kujenga Reli, ambapo njia zake ziliunganisha Miji hasa maeneo ya kilimo, uzalishaji na kibiashara, reli kuu...
  12. BabaMorgan

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Sio kwa nia mbaya kuishi kwa ndugu kuna changamoto

    Japo sio wote ila asilimia kubwa ni changamoto huu ni uzoefu wangu wa kuishi na ndugu nilihitimu diploma yangu CBE tawi la Dodoma nikarudi wilayani kwetu sikuweza kufanikiwa kupata ajira kutokana na wilaya kukosa fursa za kutosha za ajira. Nililazimika kufikiria sehemu nyingine ambayo naweza...
  13. MUBIKU

    JamiiForums Tanzania Changamoto juu ya ujenzi wa nyumba kwa tofali za kuchoma

    Utumiaji wa tofali choma, unaweza kunipunguza gharama za ujenzi? Na nichangamoto zipi naweza kukutana nazo endapo ntafanya ujenzi huu?
  14. Hivi punde

    JamiiForums Tanzania Hizi ndizo changamoto kuu mbili mradi wa treni ya mwendokasi Dar ~ Moro

    Serikali ina wazo zuri. Serikali imeamua kuleta maendeleo hasa miundombinu ya usafiri. Mradi wa treni ya mwendokasi Dar Moro ambayo itakuwa inasafiri kwa speed ya 160 km/hr ni idea nzuri sana.Tatizo la mradi huu ni :- 1. Umeme wa uhakika muda wote treni iwapo kazini (?) 2. Reli zetu haziko...
  15. by default

    JamiiForums Tanzania Kauli 10 zenye changamoto kwa Tanzania

    Top 10 ya kauli zenye changamoto. 1. Hata nyasi mtakula, ndege ya rais lazma inunuliwe- Mramba 2. Foleni Dar ni ishara ya maisha bora - JK 3. Acheni wivu wa kike - Msekwa 4. Asiyeweza kulipa nauli apige mbizi - Magufuli 5. Baada ya ku2mia helikopta ya Jeshi kwenda nayo Urambo mlitaka...
  16. T

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Michezo ya Video (Video Games): Jifunze Uendeshaji, Changamoto na Faida Zake

    Nataka nianzishe biashara ya kuchezeshaa game aina ya playstastion ila kabla sijaanza inanibd nifanye utafiti kuhusu biashara. naomba kwaa aliye na uzoefu na hilo aniambie faida na hasara zake. WADAU WANAOHITAJI MUONGOZO KUHUSU BIASHARA HII MAJIBU NA MICHANGO YA WADAU
  17. JamiiForums

    JamiiForums Tanzania Kilimo cha Mihogo (Cassava): Mbinu, Ushauri, Changamoto na Masoko yake

    Wakuu, Kutokana na uhitaji wa kuwepo mjadala endelevu na wa tija kwa wajasiriamali, tumeona ni vema tukaweka hii thread kwa maslahi ya wengi. Tunashauri Mjadala huu ujikitae kwenye maeneo yafuatayo: 1. Aina za mihogo na maeneo inakostawi vizuri 2. Misimu ambayo mihogo inapandwa ni miezi ipi...
  18. G

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mbao na Miti: Fahamu Uendeshaji, Faida na Changamoto zake

    Jamani mimi nina chaneli ya high quality mbao (zilizokatwa na ambazo bado hazijakatwa) for export toka nchi jirani. Documents na leseni zote zipo. Nafikiria masoko ya Far East na Middle East. Hivyo UAE, SAUDIA, IRAN na kule Malaysia, Vietnam na kadhalika ndio nakutaka. Je, kuna mtu anaweza...
  19. P

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Vifaa vya Ujenzi (Hardware Store): Ushauri wa Mtaji, Uendeshaji, Changamoto na Faida

    Wakuu poleni na shughuli! Ee bana kuna ndugu yangu ameniahidi kunitoa kwenye umasikini,kaniahidi kunikopesha USD 15,000 ili nifungue biashara ya kuuza vifaa vya majenzi. Sasa nauliza wakuu kwa kiasi hicho kinatosha kuanzia?au ntakua najitia pressure tuu manake hela ndogo? Maeneo ninayotarajia...
Back
Top Bottom