CAG Mtiifu
Member
- Apr 16, 2021
- 6
- 2
Wanasema wajuzi, "Charity begins at home"
Mh. Ummy Mwalimu umebebeshwa majukumu mazito kuliko uliyokua nayo awali. Hongera sana
Changamoto ni nyingi hata mtangulizi wako anajua.
Umeanza vyema kwa kupaza sauti dhidi ya wabadhirifu walio ibuliwa na CAG.
Nimeona eti kuna mke wa kigogo mmoja hivi amelamba zaidi ya m.300. Hata sasa ninasubiri kuona unafanyaje maana chombo ya kiranja wako eti imezingua.
KUBWA ZAIDI, hakuna dawa kwenye hospitali ndani ya Halmashauri nyingi hususan Tanga Jiji. Kituo cha afya Ngamiani wanashinda wanacheka tu pale hawatoi huduma zinazotakiwa zaidi ya watumishi(hasa wanawake baadhi)kufanya masihara kwenye kazi. Nenda kaangalie wazee wanavyohudumiwa.Tazama watu wa hicho wanachokiita Mfumo,ni hatari balaa.
Nenda Korogwe na Mkinga huko. Achilia mbali Tanzania nzima nimekupatu habari za nyumbani kwako. Nyumba yako mama inavuja viongozi na wakuu wa idara (baadhi) ni wanyanyasaji. Wengine wanachukua wake za watu.
Wengine wanakula tu fedha za umma hebu fanya ufuatiliaji.
Kwa sasa hebu Mh. Rais avunje hii timu iliyopo watenganishwe hawa ma RC, RPC, RAS, DC, DAS na ma DED. Tena siotu wabadilishwe lakini pia Mh. Rais wachanganye wapoteane,wazingue wazunguke na wasizinguke ili wapumzike na waingie wengine ambao wanafanya kazi bila kuogopa kuzinguliwa
Mh. Ummy Mwalimu umebebeshwa majukumu mazito kuliko uliyokua nayo awali. Hongera sana
Changamoto ni nyingi hata mtangulizi wako anajua.
Umeanza vyema kwa kupaza sauti dhidi ya wabadhirifu walio ibuliwa na CAG.
Nimeona eti kuna mke wa kigogo mmoja hivi amelamba zaidi ya m.300. Hata sasa ninasubiri kuona unafanyaje maana chombo ya kiranja wako eti imezingua.
KUBWA ZAIDI, hakuna dawa kwenye hospitali ndani ya Halmashauri nyingi hususan Tanga Jiji. Kituo cha afya Ngamiani wanashinda wanacheka tu pale hawatoi huduma zinazotakiwa zaidi ya watumishi(hasa wanawake baadhi)kufanya masihara kwenye kazi. Nenda kaangalie wazee wanavyohudumiwa.Tazama watu wa hicho wanachokiita Mfumo,ni hatari balaa.
Nenda Korogwe na Mkinga huko. Achilia mbali Tanzania nzima nimekupatu habari za nyumbani kwako. Nyumba yako mama inavuja viongozi na wakuu wa idara (baadhi) ni wanyanyasaji. Wengine wanachukua wake za watu.
Wengine wanakula tu fedha za umma hebu fanya ufuatiliaji.
Kwa sasa hebu Mh. Rais avunje hii timu iliyopo watenganishwe hawa ma RC, RPC, RAS, DC, DAS na ma DED. Tena siotu wabadilishwe lakini pia Mh. Rais wachanganye wapoteane,wazingue wazunguke na wasizinguke ili wapumzike na waingie wengine ambao wanafanya kazi bila kuogopa kuzinguliwa