beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Mbunge Juliana Shonza suala la maji limeendelea kuwa kilio kikubwa cha wananchi licha ya Wizara ya Maji kupelekewa fedha nyingi huku vilio vikitoka kwenye maeneo yale yale ambayo Serikali tayari imepeleka miradi mikubwa
Ameeleza hayo Bungeni wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Maji na kuongeza kuwa, chanzo cha hayo yote ni kutokuwepo usimamizi wa kutosha kwenye Mikoa, Wilaya na Kata
Ameeleza hayo Bungeni wakati wa majadiliano ya Bajeti ya Wizara ya Maji na kuongeza kuwa, chanzo cha hayo yote ni kutokuwepo usimamizi wa kutosha kwenye Mikoa, Wilaya na Kata