Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,835
Habari zenu wakuu,
Nataka kusafiri kwenda mkoani na tiketi ya basi nishazoea kukata manual lakini siku hizi ni mtandaoni, ila nilisikia madereva wakitaka kugomea huu utaratibu lakini sikusiukia iliishia wapi.
Je, bado wanakata tiketi za mtandaoni au baada ya ule muito wa mgomo ilisitishwa?
Je, ukikata tiketi hizi kuna changamoto gani unaweza kukumbana nazo?
Ni hayo tu wakuu, naomba majibu kwa wenye ufahamu.
Nataka kusafiri kwenda mkoani na tiketi ya basi nishazoea kukata manual lakini siku hizi ni mtandaoni, ila nilisikia madereva wakitaka kugomea huu utaratibu lakini sikusiukia iliishia wapi.
Je, bado wanakata tiketi za mtandaoni au baada ya ule muito wa mgomo ilisitishwa?
Je, ukikata tiketi hizi kuna changamoto gani unaweza kukumbana nazo?
Ni hayo tu wakuu, naomba majibu kwa wenye ufahamu.