Hii picha inasambaa kwenye magroup ya madereva. Kuna dereva mmoja kakutana na hii kitu akiwa safarini.
Mimi kuna siku natoka Tunduma kuja Mbeya nipo kwenye costa siti ya mbele SAA sita mchana jua Kali ghafla kwenye pori kaibuka mtoto miaka 5-7 kakatisha barabara dereva akamkwepa tukayumba sana ila hatukupinduka. Swali la abiria yale maeneo hakuna nyumba hata ya nyasi mtoto anatokea wapi?
Kila mtu akaanza kuomba dua yake.
Mimi kuna siku natoka Tunduma kuja Mbeya nipo kwenye costa siti ya mbele SAA sita mchana jua Kali ghafla kwenye pori kaibuka mtoto miaka 5-7 kakatisha barabara dereva akamkwepa tukayumba sana ila hatukupinduka. Swali la abiria yale maeneo hakuna nyumba hata ya nyasi mtoto anatokea wapi?
Kila mtu akaanza kuomba dua yake.