Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 61,972
- 156,266
Nawasalimu katika jina la aliye juu wapendwa! As the topic is concerned, how do you handle changamoto za housemaid mwenye mtoto nawe una watoto?
Ni wiki mbili sasa niko na dada wa kazi mwenye mtoto tena mtoto mdogo guys mdogo sana. Ni baada ya connections zote kufeli so sikuwa na namna majukumu yalinibana aliyepatikana ana mtoto wa 6 months wapendwa ningefanyaje sasa?!
Watoto wa kuwaangalia ni watatu, wawili wana umri wa miaka 5 wapo chekechea mwingine ana miaka miwili na miezi 7. Sasa huyu wangu mdogo anaumwa. Kama mnavyojua mtoto mdogo akiumwa analialia kukosa raha na lile deko seriously anahitaji care ya kimataifa na huyu wake analia hatari si usiku si mchana. Haya wake analia wangu analia na kutaka kubebwa guys mnahandle vipi hili??
Unaweza kuta ni asubuhi muda wa kuamka kuandaa na kuhudumia hawa wanaoenda chekechea mtoto wake amekesha analiaa stili analia na anatakiwa kuamka kuendelea na kazi au ameamka asubuhi mwanae analia njaa sana huku wanangu nao ni muda wa kuandaliwa chai kwani hawapendi uji kabisa so ni kunywa maziwa; afanye kipi na katoto kake kanalia mnoo!!
Yaani kwa asilimia 200 mtoto anaathiri utendaji kazi wa mamake wiki 2 nilienda kazini na huyu mdogo wale wakitoka shule nao walikua wananifata kazini yani ofisi ilikuwa kama daycare aisee mara wapande dirishani makelele sasa niliongea mpaka hapo nilikua nikirudi nyumbani kila kitu kinaniangalia nalala hooi, mgongo sasa hizi shughuli za kuinamaima muda mwingi lol mgongo unaumaa
Ni wiki mbili sasa niko na dada wa kazi mwenye mtoto tena mtoto mdogo guys mdogo sana. Ni baada ya connections zote kufeli so sikuwa na namna majukumu yalinibana aliyepatikana ana mtoto wa 6 months wapendwa ningefanyaje sasa?!
Watoto wa kuwaangalia ni watatu, wawili wana umri wa miaka 5 wapo chekechea mwingine ana miaka miwili na miezi 7. Sasa huyu wangu mdogo anaumwa. Kama mnavyojua mtoto mdogo akiumwa analialia kukosa raha na lile deko seriously anahitaji care ya kimataifa na huyu wake analia hatari si usiku si mchana. Haya wake analia wangu analia na kutaka kubebwa guys mnahandle vipi hili??
Unaweza kuta ni asubuhi muda wa kuamka kuandaa na kuhudumia hawa wanaoenda chekechea mtoto wake amekesha analiaa stili analia na anatakiwa kuamka kuendelea na kazi au ameamka asubuhi mwanae analia njaa sana huku wanangu nao ni muda wa kuandaliwa chai kwani hawapendi uji kabisa so ni kunywa maziwa; afanye kipi na katoto kake kanalia mnoo!!
Yaani kwa asilimia 200 mtoto anaathiri utendaji kazi wa mamake wiki 2 nilienda kazini na huyu mdogo wale wakitoka shule nao walikua wananifata kazini yani ofisi ilikuwa kama daycare aisee mara wapande dirishani makelele sasa niliongea mpaka hapo nilikua nikirudi nyumbani kila kitu kinaniangalia nalala hooi, mgongo sasa hizi shughuli za kuinamaima muda mwingi lol mgongo unaumaa