Watoto wa umri kati ya miaka 5-17 wengi wao wanakumbwa na hali ya kulazimika kufanya kazi badala ya kwenda shuleni. Baadhi yao hulazimishwa kufanya kazi ili kusaidia familia zao na wengine hupata changamoto ya kushindwa kusoma kwa sababu ya majukumu ya kazi wanayopewa. Hii kusababisha wanafunzi...
UTANGULIZI.
Licha ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na serikali, wazazi, jamii, Asasi za kiraia, wadau wa Elimu, na taasisi za kidini katika kuhakikisha suala la malezi linakuwa jukumu la kila mtu katika jamii, suala hili la malezi ya watoto bado limekuwa na changamoto kubwa sana kutokana na...
Bila kuwepo Mikakati, Shirika la Kazi Duniani (ILO) linakadiria kuwa, Idadi ya Watoto wanaotumikishwa inaweza kuongezeka kwa Milioni 8.9 ifikapo mwisho wa 2022, kutokana na umasikini pamoja na kuongezeka kwa mazingira magumu
Hali ya Ajira kwa Watoto inatajwa kuwa mbaya zaidi katika Nchi...
Je, unaweza kufikiria maisha yako na mafanikio yako bila elimu uliyopata? Watoto wengi duniani, ikiwemo Tanzania, wanaibiwa fursa za maendeleo zinazoletwa na elimu bora kwa sababu wanasukumwa kufanya kazi ili kupata riziki ya kifedha.
Kwa mujibu wa UNICEF na ILO, takribani mtoto 1 kati ya 10...
Salaam...
Nipo jijini Dodoma yapata mwezi wa 2 Sasa lakini Kuna jambo linanishangazaa na kunisikitisha sana. Hapa mjini ajira za utotoni zimekithiri sana. Ukienda kwenye migawa hasa ya uswahilini unakuta asilimia kubwa watoto ndio Wana hudumia
Ukienda kwenye garage vilevile unakuta vitoto...
Ajira kwa Watoto ni kazi ambazo huwazuia watoto kuishi katika utoto wao, kuwavunjia utu na heshima yao pamoja na kuathiri ukuaji wao wa mwili na akili. Zaidi ya hayo Ajira kwa Watoto ni zile ambazo huingilia masomo yao kwa kuwanyima fursa ya kuhudhuria shule; kuwalazimisha kuacha shule kabla ya...
Matatizo mengi hapa nchini huwa endelevu kwa sababu ufuatiliaji wake huwa ni wa msimu, mpaka janga litokee ndo ufuatiliaji unaanza, tukio likiisha ufuatiliaji wa kukomesha tatizo unakoma na kusubiri tatizo jingine tena, huwa hakuna ufuatiliaji endelevu.
Suala la ajira kwa watoto ni jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.