Rushwa ni mwenendo usio faa anao ufanya mtu kwa manufaa yake binafsi. Kuna Aina nyinginza rushwa Kama rushwa ya fedha, ngono, Mali n.k
Sababu za kuongezeka kwa rushwa nchini.
Ongezeko la umaskini nchini hupelekea kutoa rushwa kwa lengo la kujipatia kitu flani mfano kazi.
Ubinafsishaji...
Pima ➡️ Jitambue ➡️ Ishi
Unaweza kuishi na maambukizi ya VVU lakini usiwe na UKIMWI;
Inawezekanaje?
VVU ni Virusi Vinavyosababisha UKIMWI.
UKIMWI ni Upungufu wa Kinga Mwilini.
Mtu huambukizwa virusi vya Ukimwi (VVU) na sio UKIMWI, baada ya kupata maambukizi ya VVU asipochukua hatua ndio...
Matatizo mengi hapa nchini huwa endelevu kwa sababu ufuatiliaji wake huwa ni wa msimu, mpaka janga litokee ndo ufuatiliaji unaanza, tukio likiisha ufuatiliaji wa kukomesha tatizo unakoma na kusubiri tatizo jingine tena, huwa hakuna ufuatiliaji endelevu.
Suala la ajira kwa watoto ni jambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.