Huyu mwamba amefanya mengi katika tasnia (kubwa Ni kutafsiri movies toka lugha yoyote Ile kwenda Kiswahili. Anastahili tuzo ikiwemo Honorary doctorate na HESHIMA hata kama kashafariki).
Wakuu nimejichanga Sasa natafuta SUV au Double Cabin Ila Kwa bajeti yangu (27m TZS) naona nimeangukia kwenye Suzuki Grand Vitara. Mwenye utaalamu zaidi anijuze.
Anayetaka gari ya kazi achukue hii ISUZU Bighorn, 3,050cc, diesel, 234,000 kms. Gari ngumu Sana na ipo juu inapita popote . Bei 2,500 USD (CIF) mpaka Bandarini Dar
Hyundai Teracan 2990cc, Diesel Ni gari makini Sana. Bei yake imepoa na hata TRA ushuru ni mdogo ajabu. Changamka fursa. Usiseme hukuambiwa. USHURU 5.5m Tsh, Wese:Ddiesel, Spea bwerere, 7 seater SUV
Karibuni katika mbio za Bukoba Mega City International Marathon zitakazoanzia Bukoba International Airport tarehe 28 Machi, 2021 saa 12 asubuhi.
Tupo kwenye mazungumzo na KLM na Qantas Airlines namna ya kusafirisha wahaya waliopo ughaibuni kuja kushiriki mbio hizi.
Kutokana na Tanzania kuelekea kuwa nchi ya Viwanda punde. Majiji haya yanahitaji Helicopter Ambulance kwa ajili ya Uokozi wa haraka. #Make Tanzania Greater Again#
**Pia, wanahitajika Trauma Doctors kwa ajili ya kuhudumia Majeruhi kwa haraka
Pamoja na ukweli kuwa msiba si jambo la kushangilia lakini wengi wetu (Watanzania) basi ukipata msiba mtu unajelegezaaa as if ndo hakuna maisha baada ya hapo.
1. Tunajikusanya maelfu kwenye eneo la msiba, makaburini na kurud nyumbani kuendelea kuongezea machungu familia ya mfiwa (ikiwemo gharama...
Wakuu nauliza kati ya Toyota Noah Liteace na Nissan xtrail ipi ni bora (fuel consumption, spares, mainteinance/service etc.? Mizunguko yangu ni hapa hapa mjini na mara chache sana mkoa lami mpaka kijijini...rough road haizidi 2kms.
Wakuu bado sijafanya maamuzi gari gani ninunue mpaka sasa ila nimekutana na Xtrail ya 2007....66000kms, 1990cc je spea na ulaji wa mafuta upoje? Bei 3000usd cif tra 6.9m tsh...mazagazaga mengine ni kama 1.5m= total 15m.
Wakuu kama mjuavyo vyuma vimekaza Kiukwel. Nafikiria kujiongeza kwenye biashara ya Taxi je Toyota Premio (pichani) inafaa kwa shughuli tajwa? Ulaji wake wa mafuta, spea n.k. natanguliza shukrani.
1790cc....engine...DBA TR.
**Toyota Premio (si Premier)
Ingependeza wasanii wenye utajiri waanzishe viwanda hapa hapa nchini, tofaut na wanavyofanya sasa ya kuwekeza ughaibuni tu.
Mapendekezo ya majina ya viwanda.
1. UCHEBE STEEL INDUSTRIES.
2. WEMA AUTOMOBILE INTERNATIONAL
3. SHISHI TEXTILES INDUSTRIES,
5. DIAMOND ALUMINIUM GROUP OF COMPANIES.
6...
Disemba 2017 tulimualika Mama mkwe toka Mwakaleli, Mbeya kuja kupumzika Dar. Lakini toka aje yeye na mke wangu ni kununanuna tu.
Sasa sielewi tatizo ni nini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.