Pamoja na ukweli kuwa msiba si jambo la kushangilia lakini wengi wetu (Watanzania) basi ukipata msiba mtu unajelegezaaa as if ndo hakuna maisha baada ya hapo.
1. Tunajikusanya maelfu kwenye eneo la msiba, makaburini na kurud nyumbani kuendelea kuongezea machungu familia ya mfiwa (ikiwemo gharama za kuwalisha na kuwanywesha waombolezaji).
** Nichukue fursa hii kupongeza KKKT Dayosisi ya Kaskazini chini ya Baba Askofu Dr. F. S. (PhD) kukataza waombolezaji kula misibani.
2. Hatujali mtu akiwa mgonjwa (kwa michango na sala) bali tunasubiri mtu afe tukapige selfie na kuuza madera na t-shirt. Wafiwa jipeni moyo punguzeni machungu kwa KuMUENZi marehemu kwa kufanya kazi kwa bidii na msisahau kutembea kifua mbele kuliko kulia tuuuu
1. Tunajikusanya maelfu kwenye eneo la msiba, makaburini na kurud nyumbani kuendelea kuongezea machungu familia ya mfiwa (ikiwemo gharama za kuwalisha na kuwanywesha waombolezaji).
** Nichukue fursa hii kupongeza KKKT Dayosisi ya Kaskazini chini ya Baba Askofu Dr. F. S. (PhD) kukataza waombolezaji kula misibani.
2. Hatujali mtu akiwa mgonjwa (kwa michango na sala) bali tunasubiri mtu afe tukapige selfie na kuuza madera na t-shirt. Wafiwa jipeni moyo punguzeni machungu kwa KuMUENZi marehemu kwa kufanya kazi kwa bidii na msisahau kutembea kifua mbele kuliko kulia tuuuu