Wakuu nimejichanga Sasa natafuta SUV au Double Cabin Ila Kwa bajeti yangu (27m TZS) naona nimeangukia kwenye Suzuki Grand Vitara. Mwenye utaalamu zaidi anijuze.
Anza na TRA hao wazee wa kukomoa usishangae kuambiwa Kodi 40m TZSWakuu nimejichanga Sasa natafuta SUV au Double Cabin Ila Kwa bajeti yangu (27m TZS) naona nimeangukia kwenye Suzuki Grand Vitara. Mwenye utaalamu zaidi anijuze.
Kodi na Tozo Lazima unnye
Kodi tu?Inategemea ni ya mwaka gani, kimsingi zitaanzia mil 11 na kuendelea
gar nzuri mzee aliiacha kwenda kuifufua ilikufa engine mswaki wake mpka kifunga ilinila 9.5mWakuu nimejichanga Sasa natafuta SUV au Double Cabin Ila Kwa bajeti yangu (27m TZS) naona nimeangukia kwenye Suzuki Grand Vitara. Mwenye utaalamu zaidi anijuze.
View attachment 2429286
9.5m unapata IST iliyonyooka kwa za kulenga kwa madalaligar nzuri mzee aliiacha kwenda kuifufua ilikufa engine mswaki wake mpka kifunga ilinila 9.5m
Kodi tu?
Kwa bei hiyo unapata iliyonyoooka mkononi mwa madalali.......labda sababu iliachwa na dingi yako hivyo hukutaka fedheha ila kwa uzoefu wako wa mambo ya magari hili unalijuagar nzuri mzee aliiacha kwenda kuifufua ilikufa engine mswaki wake mpka kifunga ilinila 9.5m