Msaada: Suzuki Grand Vitara (spea, mafuta?)

blessings

JF-Expert Member
Jul 9, 2012
6,983
6,237
Wakuu nimejichanga Sasa natafuta SUV au Double Cabin Ila Kwa bajeti yangu (27m TZS) naona nimeangukia kwenye Suzuki Grand Vitara. Mwenye utaalamu zaidi anijuze.
Crop640x480.jpeg
 
Wakuu nimejichanga Sasa natafuta SUV au Double Cabin Ila Kwa bajeti yangu (27m TZS) naona nimeangukia kwenye Suzuki Grand Vitara. Mwenye utaalamu zaidi anijuze.

Gari nzuri, ngumu. Itunze tu.
Kama ni ya cc 2000 usitegemee ikimbie sana ila bado ni gari nzuri sana. Ya CC 2400 inakimbia ila inakula mafuta kidogo kuliko ya 2.0. Nimesafiri nayo mara kadhaa barabarani imetulia
Off road (kawaida) pia inapiga vizuri

Reliable sana
 
Back
Top Bottom