Igweee!
Ninawasalimu kwa jina la JMT! Leo nimepata wasaa wa kusafiri usiku kutoka mkoa x kuja y kwa takriban masaa 10 kuanzia 2000hrs to 0730hrs.
Ni usafiri wa kawaida wanaita luxury bus, so hakuna chochote za ziada nilicho experience.
Kwa kuwa ni mara yangu ya 1, nimeona baaddhi ya...
Wakuu habari zenu, hatimaye ndugu yenu nimedunduliza pesa kdg na kupata kutimiza ndoto ya kuwa na gari.
Nimepata option 2, ist (model ya zamani) ambazo ndiyo nyingi au belta zote zina bajeti inayofanana. Nishaurini niende kwa ipi?
Natanguliza shukrani[emoji1545]
Wakuu hawa wenye hiki chuo wamechafua mji wa Mwanza na haya matangazo, ni lazima tu usome hata kama hautaki.
Njia nzima kutoka au kuingia jijini unaona mabango dabo dabo yani yanakuww mkabala kila upande wa road.
Hivi hakuna sheria ya kuhudu kuchafua mji wa matangazo mengi kwa wakati mmoja?
Igweee! Jamani ninajua humu kuna wataalamu kila nyanja. Ninakuja Dar kwa matibabu, nitakaa siku 5-10 nina familia ya watu 4.
Ninahitaji sehemu inayoweza saidia kukaa na watu wangu kwa siku tajwa. Kama ni short term au mtu ameenda holidays anataka tushee costs za rent niko tayari.
Mimi ni...
Wakuu baada ya kutumia version ya nyuma kwa miaka10, sasa ninataka kubadili model ninunue hii.
Uzoefu upoje kwenye kodi ikizingatiwa ni gari ina miaka6 toka iundwe na costs zake ni$10,000 hadi Dar.
Asante in advance
Huenda hujawahi sikia jina Tristan da Cunha.. basi leo nakupa kwa ufupi maajabu ya kisiwa hiki kinachopatikana kati ya South America na South Africa:
1. Kina wakazi 275 tu ambao wote ni ndugu na ni wazungu
2. Wana majina ya ukoo 8 tu, hivyo wanafahamiana vizuri kwa majina yao
3. Wamekua...
Wakuu za mida mida! Najua mida hii wengine walinzi, wengine tuko mgegedoni, wengine wanga
Ili neno vyuma vimekaza limeanzia wapi, ni nani alikazwa na vyuma akaona hilo lowe neno (msemo)
Kwa wale wapenzi wa WWE kupitia channel pendwa ya etv kuanzia Sept 1 hakutakua na vile vipindi vya mieleka kupitia channel yao ya e kutoka sauz. Hii ni kutokana na mkataba kati ya kituo na wamiliki wa WWE. Kwa hiyo wale tuliokua tunawahi sa 12 jioni jumamosi na jumapili kuwatch mieleka...
Si mwanaume au mwanamke mara pua zikipitisha hewa yenye perfume (harufu) mbaya wengi hutema mate. Kwa wajawazito huhusiana na ishu za hormone, je kwa wengine ambao sio waja wazito hua mnatema mate kupunguza harufu au ni imani tu?
Wajuzi mje mtujuze
REGEN CONSULTANTS CO. LTD
ILALA – TABATA - DAR ES SALAAM
TANZANIA
Since its opening in South Yorkshire , Uk, 2001, our client has evolved to become the one of the most internationally acclaimed park/reserves advocates . our client features walkthrough exhibits that take advocacy directly into...
Mnamo tarehe 31/10/2016 papa pamoja na President wa Shirikisho la waruheri duniani (Lutheran World Federation) wamesain maridhiano baada ya mtengano wa miaka takriban 500.
Nimeona kila
Mtu anasema lake ooh mara muungano wa makanisa, sijui ndio mwanzo wa dini moja duniani na kuzua mijadala...
1. It does not matter how slowly you go as long as you do not stop.
2. Never form a friendship with a man who is not better than you.
3. When anger rises, think of the consequences.
4. When it is obvious that goals cannot be
reached, don’t adjust the goals, but adjust the action steps.
5...
Wakuu mtoto ananipa wakati mgumu sana, ana wiki 6 sasa na amekua analia sana usiku yani kilio cha yowe kabisa.
Nimejaribu kumpa dawa 'infacol' na bonnisan lakini tatizo bado liko pale pale shida itakua nini? Hizo dawa nimepewa baada ya kumuona pediatrician.
Alafu mida yake sasa ni kuanzia sa...
By Mosiqi Acharya
Department of Immigration and Border Protection (DIBP) have released the new Skilled Occupations List (SOL) for 2016-17.
This list will come into effect from 1st July, 2016.
The Skilled Occupations List is used for 189 (Skilled Independent Visa), 489 (Skilled Regional...
Kwa Tz je kuna tofauti ya mafuta petrol ya premium na unleaded?
Nchi za ulaya kuna zile pipe za blue na red, na bei ni tofauti kati ya petrol red vs blue. Lkn tz bei ni moja tuuu kwa petrol zote, je ni usanii au kweli kuna utofauti wa hii bidhaa kwa Tz
Selling black escudo, v6 (2.7L), just drove 8000km since imported in Tanzania last year. Only one person drove the car, all documents are clear & am the owner all written in my names.
Bought for 29m, selling for 25m. No accident, no scratches, good in fuel budget, comes with electric pump...
Hi cobbers,
bought brand new iMac and now I guess its time to sell
27" (really big screen),
iCore 7,
Ram 16Gb (2 slots to add more)1333MHz DDR3,
software OS X 10.9.5,
Graphics ATI Radeon HD 5750 1024Mb
Comes with 700Gb stored movies, wireless keyboard & mouse, origina parking box and...
Brand new iRhoomba kifaa cha kufanya usafi ktk nyumba yako kama ilivyo vacuum cleaner isipokua yenyewe inasens uchafu ulipo, haianguki kwenye ngazi, unaiprogram ifanye usafi kwa siku, wiki, mwez hata mwaka. Inatumia rechargable battery, na inajichaji kila mara ikihisi battery ni low. Kwa umbo ni...
Bought brand new in 2014 from Specialised bikie shop $1,150
Specialised bicycle, size 29, giant, 27shimano gears, front & rear disc brakes, lockable rockshock shock absorber, free foot pump & Lock
Price 800,000Tsh
Reason to sale no time to ride anymore.
All are originals parts made in New...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.