Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,072
- 8,329
Wakuu hawa wenye hiki chuo wamechafua mji wa Mwanza na haya matangazo, ni lazima tu usome hata kama hautaki.
Njia nzima kutoka au kuingia jijini unaona mabango dabo dabo yani yanakuww mkabala kila upande wa road.
Hivi hakuna sheria ya kuhudu kuchafua mji wa matangazo mengi kwa wakati mmoja?
Njia nzima kutoka au kuingia jijini unaona mabango dabo dabo yani yanakuww mkabala kila upande wa road.
Hivi hakuna sheria ya kuhudu kuchafua mji wa matangazo mengi kwa wakati mmoja?