Any short term rental around Muhimbili Hospital please?

Any short term rental around Muhimbili Hospital please?

Jerrymsigwa

JF-Expert Member
Joined
Jun 23, 2012
Posts
14,084
Reaction score
8,406
Igweee! Jamani ninajua humu kuna wataalamu kila nyanja. Ninakuja Dar kwa matibabu, nitakaa siku 5-10 nina familia ya watu 4.

Ninahitaji sehemu inayoweza saidia kukaa na watu wangu kwa siku tajwa. Kama ni short term au mtu ameenda holidays anataka tushee costs za rent niko tayari.

Mimi ni mwaminifu, nina ustaarabu hali ya juu, mkristo safi msafi na hutajuta na kila mara naamini human capital ndio
Mtaji mkubwa kwa maisha ya duniani na ahera.

Ninaingia Dar leo natokea Mbeya, ila nitafikia hotel kwanza kabla ya kupata sehemu. Bajeti yangu ni 80-100,000/day, vyumba 2, ikiwa karibu na Muhimbili itakua safi zaidi. Ikiwa mbali, tunaweza kunegotiate. Basic furniture inatosha kwa vile ni kwa muda mfupi.

Asante.

Unaweza dm au whatsap 0756 984898
 
Igweee! Jamani ninajua humu kuna wataalamu kila nyanja. Ninakuja Dar kwa matibabu, nitakaa siku 5-10 nina familia ya watu 4.

Ninahitaji sehemu inayoweza saidia kukaa na watu wangu kwa siku tajwa. Kama ni short term au mtu ameenda holidays anataka tushee costs za rent niko tayari.

Mimi ni mwaminifu, nina ustaarabu hali ya juu, mkristo safi msafi na hutajuta na kila mara naamini human capital ndio
Mtaji mkubwa kwa maisha ya duniani na ahera.

Ninaingia Dar leo natokea Mbeya, ila nitafikia hotel kwanza kabla ya kupata sehemu. Bajeti yangu ni 80-100,000/day, vyumba 2, ikiwa karibu na Muhimbili itakua safi zaidi. Ikiwa mbali, tunaweza kunegotiate. Basic furniture inatosha kwa vile ni kwa muda mfupi.

Asante.

Unaweza dm au whatsap 0756 984898
Apartment za hivyo zipo ila tatizo ni location karibu na muhimbili ndio mtihani kwa bei hiyo.
 
Ukishatibiwa na kurudi kwenu unaanzisha thread ya kutuponda wanaume wenzio wa Dar.Pole Mkuu Mungu akutangulie katika matibabu yako.Hapo wacheki wanaJf wanaoishi Kinondoni,Upanga Msasani n.k Ningekutajia mmoja humu ana mjengo karibu ila bila idhini yake napiga kufuli domo langu.
 
Ukifika muhimbili wanakuuliza Kama Kuna sehemu ya kufikia Kama hauna Kuna hostel wanakuelekeza unaenda kufikia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom