Poleni sana Watanzania wenzangu kwa kuondokewa na Rais wetu kipenzi. Mungu amlaze mahali pema peponi, Amina.
Kutokana na hali ilivyo, automatically Mama Samia aliyekuwa Makamu wa Rais ndio anakuwa Rais kamili kwa kipindi cha miaka minne iliyobaki.
Je, nani anayefaa kuwa Makamu wa Rais...
Wale wenye shule zinazohudumia mambo ya misosi, muda huu wa likizo ni muda muafaka wa kuandaa kuni za kutosha. Shule zikifunguliwa maswala ya misosi yanaendelea bila kusuasua.
Karibuni sana mjipatie kuni za ukweli kwa bei nafuu sana.
Wale wenye shule zinazohudumia mambo ya misosi, muda huu wa likizo ni muda muafaka wa kuandaa kuni za kutosha. Shule zikifunguliwa maswala ya misosi yanaendelea bila kusuasua.
Karibuni sana mjipatie kuni za ukweli kwa bei nafuu sana.
*Ofa ya Xmas na Mwaka Mpya*
Punguzo kubwa la bei ya kuni.
Jipatie tani moja kwa 120,000/= tu.
Mzigo upo Dar, una vibali vyote vya serikali.
Wahi mapema kabla mzigo haujaisha.
Karibuni sana.
0659890000
fmlyimo@gmail.com
Kwa wale wafanya biashara ya kuni au watumiaji wakubwa wa kuni kama viwanda, vyuo au shule.
Napenda kuwatangazia kuwa upo mzigo mkubwa wa kuni zaidi ya tani 200.
Mzigo upo Dar es Salaam.
Ni kuni za miti migumu zinazowaka vizuri na kwa muda mrefu.
Tunauza kwa uzito, tani moja ni shilingi...
Kwa wale wafanya biashara ya kuni au watumiaji wakubwa wa kuni kama viwanda, vyuo au shule.
Napenda kuwatangazia kuwa upo mzigo mkubwa wa kuni zaidi ya tani 200.
Mzigo upo Dar es Salaam.
Ni kuni za miti migumu zinazowaka vizuri na kwa muda mrefu.
Tunauza kwa uzito, tani moja ni shilingi...
Kwa wale wafanya biashara ya kuni au watumiaji wakubwa wa kuni kama viwanda, vyuo au shule.
Napenda kuwatangazia kuwa upo mzigo mkubwa wa kuni zaidi ya tani 200.
Mzigo upo Dar es Salaam.
Ni kuni za miti migumu zinazowaka vizuri na kwa muda mrefu.
Tunauza kwa uzito, tani moja ni shilingi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.