Nimefungua Uzi huu Mahsusi kwa ajili ya Kujadili na Kujadili baadhi ya Changamoto za Maboss wetu hususani wa Afrika.
Yeyote uliwahi ama unapitia na Kukumbwa na Uonevu ama Kusingiziwa na Maboss aidha kwa kuamua wenyewe ama Kulishwa Majungu na Wale Watu ambao siyo wazuri kwako. Tunaomba pia...
Salaam!
Naomba Msaada kwenye hilo. Gari unapopiga Starter linakuwa moto unafika ila haiwaki.
Muda mwingine Kesho yake au muda mrefu umepita Ukiwasha inawaka.
Naombeni Kujuzwa kwa wale waliowahi kumbana na adha hii.
Habari ya Majukumu Wakuu!
Nina gari yangu Ndogo IST, Nikijaribu Kukanyagia walau nifike 120Km/Hr, Speed ikifika tu 100 na Kuendelea napata Mtikisiko Mkubwa saana wa Injini.
Naomba Kueleweshwa tatizo lake na Tiba yake!
Naombeni Karibuni Kunisaidia kutatua hili tatizo pamoja na Chanzo Chake...
Habari ya Majukumu humu Ndani.
Naomba kusaidiwa hiyo hoja. Je, nitajuaje gari yangu inachemsha?
Gari yangu nimeona haya, Je ndiyo Kuchemsha au mwanzo wa Kuchemsha?
1.Maji nikiweka yemejaa Mpaka Juu, nikiwasha gari baada ya muda nikazima nakufungua Radiotor naona maji hayaonekani...
Wakuu Salaam.
Naomba Kujua Faida za Injini ya Petrol pia za Diesel.
Na Je, ni Injini ipi bora kati ya hiz mbili.
Interms of Durability na Performance.
Naombeni Michango yenu.
Salaam Wakuu!
Nimemvua mtu IST yenye CC1500, nimempelekea Fundi aiangalie kama kuna shida, kaniambia hakuna shida matatizo ya kawaida. Ila aliyeniuzia akaniambia haina shida labda tu Service.
Sasa Basi Wataalamu naombeni ushauri natakiwa nifanye Service ya Kipi na kipi lengo ni Kutaka...
Salaam!
Wadau kama Mada inavyojieleza, naomba Msaada kufuta Documents na Video zilizopo Recycle Bin Samsung Galaxy A12. Nimefuta vitu kibao kwenye Simu ila naona Vinahamia Recycle bin na bado naoma nakosa Nafasi kwenye Simu. Maana nilikuwa na Video zenye Ukubwa wa zaidi ya 20GB ila nimefuta...
Ni takribani miezi kadhaa sasa, Mkoa wa Mbeya imekuwa kero, Umeme Unakatika Zaidi ya mara 4 kwa Siku.
Na hili tatizo lipo zaidi ya Miezi 3 hivi.
Tunaambiwa Bwawa la Mtera Maji yamejaa mpaka wanayafungulia yatoke lakini Umeme katika Siku nzima unawaka si zaidi ya Saa 6 hivi.
Tafadhalini acheni...
Habarini wadau!
Kama kichwa cha uzi kinavyojieleza, ni kuwa nikazichanga kidogo nikatafuta mziki wangu uwe unanifariji kidogo ni Sony nz950 watt 1000.
Ajabu ni kuwa siku naunganisha mziki uliimba speaker ndogo zote nne ndaefu, ila kuanzia nadhani kesho yake sauti zikakata mbili zikabaki...
Wasalaam Wanajamvi,
Sina Mengi naomba mwenye Kujua kuhusu gari aina ya Belta Kiujumla Msaada kwa Ufafanuzi.
Je, Belta na IST ipi gari bora katika kila Nyanja?
Nawakaribisha kunitoa Tongotongo na Ahsanteni!
Toyota Belta
Habarini Wanajamvi.
Naomba Msaada wa Maana ya Specifications ya Maneno haya kwenye Hizi Screen za Kisasa (TVs).
1. Smart
2. Smart uhd 4k
3. Smart Android Uhd 4k
Ahsanteni.Chief-Mkwawa mchango wako utanifaa Mkuu
Habarini WanaJukwaa Pendwa la MMU!
Katika Pita pita yangu nimekutana na Msuguano Mkali wa Juu ya Raha ya Kuwa na Ndoa ama Kutokuwa kwenye Ndoa.
Kuna Wengine Wamesema Ndoa ina Raha saana maana Ndiyo Utimilifu wa Maisha wenyewe. Wamedai kuwa Ukiwa Nje ya Ndoa maanake kunakuwa kama Kiungo...
Salaam kwenu wana MMU!
Naleta kwenu mjadala huru huu. Hivi ikatokea kwa pamoja ukapata aidha safari ama mizunguko mkawa na mama yako mzazi, kama mwanaume ndiyo unaendesha gari hilo yupi kati yao, yaani mama ama mke atakaa mbele na mwingine nyuma ya gari.
Nimezungumzia mmoja akae nyuma mwingine...
Salaam!
Aliyekuwa Kaibu Mkuu wa Chama cha Wananchi (CUF) na baadaye Kuachana nacho kisha kuhamia ACT-Wazalendo Maalimu Seif Sharrif Hamad amekamatwa na Polisi huko Zanzabar Leo hii.
Source DW.
Naona huu ni Muendelezo wa Hofu na uoga wa Serikali ya awamu ya 5 chini ya Magufuli juu ya...
Naomba Kuuliza Katibu Mwenezi wa CCM Ndugu Humphrey Polepole Uko wapi brother? Siyo kawaida saana Kupoa muda wote huu wakati wewe ni mwenezi wa CCM.
Tukiachana na kupotea Kwako, tungeomba kusikia maoni yako juu ya Saga linaloendelea na tulitegemea utoe maoni yako hata kabla ya Katibu mkuu wako...
Habari wanajukwaa!
Kama heading inavyojieleza, msaada wenu Jinsi Kufungua Tecno Spark 2 maana Mdau Kasahau Password.
Natanguliza Shukrani zangu za dhati Kwenu!
Salaam!
Kama heading inavyojieleza, Natumia Camon CX Air, kwasasa ni Mwezi sasa, Kila nikitaka Ku Update WhatsApp Messenger, kwenye Update pale nibofya inaniandikia 'Download Pending' na Data inakuwa kama vile Zimeenda Sufuri na haziko Active! Ila nikienda Program zingine hazina shida inaenda...
Salaam!
Ni mara nyingi nimekuwa nikiwaza kwanini Watanzania wapo kama wanafurahia hali ya Uongozi chini ya Utawala wa CCM ambao kiuhalisia ni dharimu.
Watanzania kila mwaka wanashika mkia kwenye Mataifa yenye Furaha Duniani. Bado tunavumilia tu! Wengine wanadai Watanzania ni Wavumilivu tu ila...
Rais Magufuli amesikaka akiamuru walinzi wake wamkamata mtu aliyekuwa akifanya fujo kwenye mkutano wake huko Mbarali.
'Wewe usinifanyizie Fujo kwenye mkutano wangu, Mkamate Kamuweke ndani akajifunze huko, nimemuona muda mrefu' maneno ya Magufuli.
Je, huyo Raia ni Nani na amefanya fujo gani, na...
Salaam!
Wandugu zikiwa zimebakia Sikh 12 tu Kufikia siku ya Wafanyakazi Duniani yaani Mei Mosi. Kama tulivyokwisha Kusikia Kauli za Viongozi Mbali mbali akiwemo Waziri wa Utumishi wa Umma, George Mkuchika, Waziri wa Kazi Jenister Mhagama pamoja na Naibu Spika Tulia Jackson Mwansasu akishirikiana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.